kwa majibu yako unaonekana ni msomi ambaye bado hujaelimika ama umeingia mjini hivi punde.Sasa Mimi sio wao na siishi kama wanavyoishi,Naishi kivyangu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa majibu yako unaonekana ni msomi ambaye bado hujaelimika ama umeingia mjini hivi punde.Sasa Mimi sio wao na siishi kama wanavyoishi,Naishi kivyangu.
Umefwata masomo au Ac na Fe
Hujakoseakwa majibu yako unaonekana ni msomi ambaye bado hujaelimika ama umeingia mjini hivi punde.
Nenda VETA unakuta mali zao chakavu. Ila itakuwa ni ile sheria ya manunuzi inawabana mpaka watangaze tenda.Mnasomea technology, lecturers wenu wanashindwa kuwapa hizo AC na feni mtengeneze wenyewe?🤔
Juzi alikuja dogo wangu anasoma kwenye Chuo hicho analalamikia hiyo changamoto, swali langu la kwanza nikamuuliza Serikali ya Wanafunzi imewasaidiaje kupaza sauti, akasema majibu wanayopewa ni kwamba wanalifanyia kazi.Kwani Serikali ya Wanafunzi siku hizi haipo au hilo sio jukumu lao kupaza sauti!😂
Nunua feni Yako ndogo nenda nayo chuo Kuna socket hapo acha kupoteza muda watu wanakula urefu wa kambambaMadarasa mengi na Maabara za Chuo cha DIT yana changamoto ambazo zinafanya tunashindwa kusoma tukiwa na utulivu, nazo ni; AC na feni nyingi hazifanyi kazi.
Mfano mimi ninasoma ETE, Jengo la mawasiliano kuna Maabara 4, zote hakuna AC wala feni tunapoingia kunakuwa na suffocation sana na joto kali sana, huu ni mwaka wa pili nimezikuta hivyo na hakuna jitihada zozote.
Upande wa majengo ya Block B na C Pia, mamlaka zilifanyie kazi hili tafadhali maana tunakuwa kama wafungwa na ada tunalipa, yaani hiki ni chuo cha Teknolojia (Dar es Salaam Institute of Technology - DIT) lakini tunakuwa na kero kama hizi ndogondogo, ni aibu kwetu.
natengeneza yeye alafu mafundi waliojiriwa wanakipwa mishaaraCan't you get to apply the acquired skills on repairing those deformities, How dare you to Call DIT learners while failing to fix such minor issues?
Who gonna Be?
Kwa ajili ya kupata unafuu mkuu, kusubiri wahusika mpaka protocols zifuatwe si itakuwa ngumuA
natengeneza yeye alafu mafundi waliojiriwa wanakipwa mishaara