Rashidi Jololo
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 1,704
- 2,858
Matumizi ya kawaida ni MILKSHAKE hiyo. Ndio sababu inahitajika KATIBA MPYA, ambayo CHAWA WA MAMA wanapigana vikumbo humu kuipingaHivi haya matumizi ya kawaida huwaga ni nini? maana Bil 93 afu ya maendeleo ya wananchi inakuwa 23bil - mbona huu ni uonevu mkubwa. yaani unatumia alimost 90% afu 10 ndiyo ya maendeleo - haya maendeleo utayapata lini sasa?