Festo Sanga: BASATA ni Baraza la Sanaa la Taifa, sasa hivi limegeuka ni Mahakama ya Sanaa ya Taifa

Festo Sanga: BASATA ni Baraza la Sanaa la Taifa, sasa hivi limegeuka ni Mahakama ya Sanaa ya Taifa

Miss Zomboko

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2014
Posts
4,599
Reaction score
9,532
Mbunge wa Makete, Festo Sanga, amesema asilimia kubwa ya Wasanii wa Tanzania wamejipambania wenyewe bila msaada wowote wa Vyombo vinavyotakiwa kuwasadia lakini Baraza la Sanaa (BASATA) linafanya urasimu kwenye kazi zao

Ameongeza kuwa, Sheria zilizopo BASATA ni za kikoloni ambazo zimejikita kudhibiti badala ya kusimamia kazi za Sanaa. Asema BASATA hawana Miundombinu ya kuchunguza kama Muziki ni bora au sio bora.
 
Mbunge wa Makete, Festo Sanga, amesema asilimia kubwa ya Wasanii wa Tanzania wamejipambania wenyewe bila msaada wowote wa Vyombo vinavyotakiwa kuwasadia lakini Baraza la Sanaa (BASATA) linafanya urasimu kwenye kazi zao

Ameongeza kuwa, Sheria zilizopo BASATA ni za kikoloni ambazo zimejikita kudhibiti badala ya kusimamia kazi za Sanaa. Asema BASATA hawana Miundombinu ya kuchunguza kama Muziki ni bora au sio borwa

Mbunge wa Makete, Festo Sanga, amesema asilimia kubwa ya Wasanii wa Tanzania wamejipambania wenyewe bila msaada wowote wa Vyombo vinavyotakiwa kuwasadia lakini Baraza la Sanaa (BASATA) linafanya urasimu kwenye kazi zao

Ameongeza kuwa, Sheria zilizopo BASATA ni za kikoloni ambazo zimejikita kudhibiti badala ya kusimamia kazi za Sanaa. Asema BASATA hawana Miundombinu ya kuchuniguza kama Muziki ni bora au sio bora.
Waheshimiwa wabunge mnakoelekea msije kupitisha sheria kuhalalisha ushoga maana mnataka kuwaridhisha wanamuziki wahuni na wasio na maadili. Nyimbo za sasa zimejaa mashairi ya matusi na ngono wazi wazi. Watoto wanasikiliza na kuimba aibu tupu. Basata kazeni uzi kudhibiti nyimbo zisizo na maadili
 
Mbunge wa Makete, Festo Sanga, amesema asilimia kubwa ya Wasanii wa Tanzania wamejipambania wenyewe bila msaada wowote wa Vyombo vinavyotakiwa kuwasadia lakini Baraza la Sanaa (BASATA) linafanya urasimu kwenye kazi zao

Ameongeza kuwa, Sheria zilizopo BASATA ni za kikoloni ambazo zimejikita kudhibiti badala ya kusimamia kazi za Sanaa. Asema BASATA hawana Miundombinu ya kuchunguza kama Muziki ni bora au sio bora.
Baraza linaweza kuwa quasi judicial body kama yalivyo mabaraza ya ardhi yankata na wilaya.

In short Baraza laweza kusimamia masuala fulani at the same time kikawa quasi judicial branch. Huyu bwana ni mtunga sheria Ila hajui kabisa kazinza mabaraza.

Hata TCRA Wana Baraza la kusikiliza malalamiko lililoundwa kisheria pia kuna mabaraza yaliyo chini ya Tume mbalimbali kama PPAA, Tume ya Ushindani yaani FCC, Mabaraza ya appeals za kodi na mabaraza mengi tu.

Muhimu za mabaraza haya usiporidhika waweza kuappeal kwenye Mahakama za kawaida.

Tunachagua wabunge hewa kabisa.
 
Wewe ni mtanzania huru!! usipige kelele km mwanamke naniliu..........nenda ingiza kile unacho dhani ni sawa! kwani BASATA hawapokei wafanya kazi wapya? vinginevo wacha wafanye kazi wao wanapoona ni sawa!
 
Back
Top Bottom