FEZA na NANDO ndani ya Big Brother - The Chase

Uhhhhuuuuhhh m so dad for Motama, she is such a sweet lady......lakini BBA kuna watu wanawaonesha sana na wengine kama wanawazima vile, motama kwenye highlight zake anaonekana alikuwa very interactive, asingekuwa wa kuondoka wiki hii kama angetendewa haki, ila kutooneshwa kwake ndo kumemharibia mdada wa watu....poor her
 
Wewe umelipia VIP?? Nimeona kwa macho yangu wakifanya

VIP sina jamani....basi kama wamefanya daaah....maskini Selly atakuwa anajutia...dats why Nando was alikuwa anasema he is worried that someone heard...sasa I was not sure ni nini...
 
Betty OUT. huyu betty alikuwa akiwachukia waTZ(feza na nando).bora katoka. Bolt yeye ni next week zamu yake. ningefrahi kama wangetoka wote wawili betty &bolt

Hata mimi nimefurahi sanaaaa...mpaka IK kamuuliza kwanini alikuwa hapatani na Feza...halafu hajaamini katoka coz anajibu maswali kwa mkato huyo
 
VIP sina jamani....basi kama wamefanya daaah....maskini Selly atakuwa anajutia...dats why Nando was alikuwa anasema he is worried that someone heard...sasa I was not sure ni nini...

Hhahaha wamefanya mwaya, hadi kwenda uvinza Nando alishuka
 

Umeona eh....yani nimekaonea huruma coz kaacha mijitu mingine kama kina Bolt...halafu mwenyewe katoka so excited mpaka IK anamshangaa...next week lazima Bolt atoke
 
Here is how Africa voted this week (23 June 2013) – We say goodbye to Motamma (Botswana) and Betty (Ethiopia).

Here's who which country voted for:

Angola: Oneal
Botswana: Oneal
Ghana: Elikem
Kenya: Nando
Ethiopia: Betty
Malawi: Natasha
Namibia: Nando
Nigeria: Nando
South Africa: Oneal
Sierra Leone: Bolt
Tanzania: Nando
Uganda: Nando
Zambia: Natasha
Zimbabwe: Natasha
Rest of Africa: Oneal

Total: Nando = 5; Oneal = 4; Natasha =3, Bolt = 1, Elikem = 1, Betty = 1, Motamma = 0. (Total: 15 Votes)

Siamini Nando kaongoza kwa kura...
 
wote wanao comment hapa ni premium members wa dstv na wanalipa 76 usd per month,,hivi unadhani hiyo pesa wanaokota?so kabla ya kusema wana muda wa bure wa kufuatilia bba,jiulize wanatafutaje pesa??,,

Mbona povu linakutoka mkuu na huo muda wa kuangalia huo upuuz na biashara unaupata vipi? Unaweza ukawa na degree ya vyuo vya kata C.B.E halafu kumbe umeGraduate juzi tu '09? Mi miaka miwili nyuma yako.
Ulivyokua unaiadithia mi nilizani bi.dada kumbe dume?
Endelea kuangalia TV ya baba.
 
wote wanao comment hapa ni premium members wa dstv na wanalipa 76 usd per month,,hivi unadhani hiyo pesa wanaokota?so kabla ya kusema wana muda wa bure wa kufuatilia bba,jiulize wanatafutaje pesa??,,

Wengine bado wanaangalia TV za baba zao.
 

Ha ha ha njoo kule jukwaa la sheria na matatizo yako ntakusaidia kibaya sana hujui hata profession yangu kaulize km cbe wanatoa sheria ulivyo poyoyo hata ishu za high learning utata hapa mdada nani kati yangu na ww unajishugulisha na watu wasio na tym na ww? Bas karibu sana bwana bwana mdgo ddnt knew uko bi se.. Umenunaaaa????
 

Endelea kuangalia upuuzi kwenye TV ya nyumbani huku ukigombania Remote Control na dada zako na taaluma yako sheria ya vyeti na hiyo IQ yako inanipa wasiwasi. Unajua kwanini sikumjibu yule dada Pretty? ni haki yake kuangalia sio wewe kutwa nzima umeweka PUMB.u zako kwenye TV kuwaangalia,,,By the way Elimu yako haikusaidii.
 
Last edited by a moderator:
Jamani BBA mnaifwatilia.....Feza mapenzi sasa yaamia kwa Oneal baada ya kuona Elikem ni playboy....Nando naye kama kampotezea Dillish...
sory mleta mada.hayo ni majina ya viwavi jeshi au?ni wadudu gani hao?!
 

Ahh mi kuangalia ntaangalia tu ila bi se ..kama ww huwe achwa hiv hiv lazima tukwambie ukweli mana tukikuacha na hivi vitabia mwisho wa cku utavaa nguo za ndan za dada zako af utaona sawa tu.. U'll nat get rid of my capacity! Wish u cud ever never tried..!!!
 
Last edited by a moderator:

pumbavu,,,,,i graduated ftc in civil eng in 1990 at dar tech(d.i.t),,,degree from udsm,,masters at dublin institute of technology,,kwanza education doesnt matter in life even if it matters i have,,i have a descent life,,my first kid is married and completed udsm in 07
 
Jamani mijitu mingine kama thread haiwausu wanawashwa ama....au ndo tuseme DSTV wanashindwa kulipia hadi waionee BAR....halafu watakuwa hawaelewi kwasababu ya elimu zaoza kuunga unga....watu wanao angalia BBA ni wasomi na maisha yao ni very succesful...tuanze ku comment in English tuone kama hao wapumbafu watajibu...
 
Inaonyesha ni jinsi gani wewe ni mtu wa kale na TV yako ya chogo uko tandale hata DSTV ukifunga itagoma...ha ha ha..WTF
jibu swali langu kwanza binti.mbona povu jingi....who the hell are they?
 
Inaonyesha ni jinsi gani wewe ni mtu wa kale na TV yako ya chogo uko tandale hata DSTV ukifunga itagoma...ha ha ha..WTF

Hahaha eti WTF we nae mtata sijui kaelewa maskini anyway.. Pokello and Dillish my next eviction choice!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…