Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanazalilishwa na nani. Wanafahamu kama runinga wanaonekana. Na wamesaini mkataba. Wewe kama hutaki huangalii. Hata watoto hawaruhusiwi. Ukiwaruhusu ni wewe ndio maana wanakuonyesha button ya kulock kama hutaki watoto waone.
So fatima ws cried about...????? mlioona nijuzen..!!!!!!
Eti anasema kuna touching story bassey alimuambia kuhusu maisha yake....ila hakusema ni story gani
Fezza ameanza unafiki na kulipa visasi, anasahau kwamba betty alichukiwa kwa sababu hyo....soon ataondoka mjengoni. Amemswap Pokello alafu anamjadili pamoja na annabel na fatima?? huyu demu mnafiki sana kumbe. Sincerely speaking naanza kumdis
sasa unamwambia nani ?
Kinakuuma eehh, ukweli lazima usemwe....na hii ni post ya fezza na nando so lazima habari ya fezza isemwe hapa. Ningemtaja wema sepetu hapa kweli ningeonekana kichaa. Go screw urself to death kama kimekuuma
Fezza ameanza unafiki na kulipa visasi, anasahau kwamba betty alichukiwa kwa sababu hyo....soon ataondoka mjengoni. Amemswap Pokello alafu anamjadili pamoja na annabel na fatima?? huyu demu mnafiki sana kumbe. Sincerely speaking naanza kumdis
Hahahaaaa....nimeipenda hiyo....
Pokello anachukiwa na almost all housemates wa ruby....sioni kisasi coz its not like pokello alimfanyia hivyo then feza akalipiza...betty was a different case...alilipiza kabisa...
Hahahaha naona unadumisha mila kutetea wa kunyumba........
haujitambui wewe uwezo wako wa kufikiri inaonekana ni mdogo
Wewe wako ni mkubwa? heri hata mimi nina uwezo wa kufikiri lakini mdogo....wewe unatumia kichwa cha chini kufikiri..... yu know what?? get ya life byaaatch n leave me alone.....black bas.....t*&&**ard
may be you just forget to take your pill
hujielewi wewe you must also keep your puchuchu shut...unaonekana unakihelehele sana