mahatmaxlla
JF-Expert Member
- Nov 26, 2017
- 896
- 1,435
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Ana chura?
Tele mbele vijijini sio mbele mjiniAkafie mbele
Tena hii ni Menopouse under age..maana sio kwa kujiamini uko alikofikiaMenopause imeanza kumsumbua, msameheni bure .
[emoji23][emoji23][emoji23] nikumbushe mkuuHivi siku ya ukimwi duniani si inaadhimishwa kila tarehe 1 Desemba?
Inatumika?Ana chura?
Huyu hapaAna chura?
Vichwa vingine havihimili mishindo ya bangi kabisa
We na wewe huna tofauti nae mana hujielewi!Ukute alivuta huku ananuia, bangi nibangue nijione mzuri kupita wanawake wote.
We na wewe huna tofauti nae mana hujielewi!
Sasa bangi imeingia vipi apo?
Bangi wamevuta wakina Bob Marley, Tosh, lucky Dube, Fidel Castro ,Guevarra na mpaka leo wamekufa na heshima zao duniani....
wewe mtu anapigika na ugumu wa maisha unasema bangi imesababisha?
Pumbavu kweli
anajidai zawadi ya kudumu ni kujaliwa wowowo ilhali sioni lolote hapo!Huyu hapa
Mkuu umekunywa chai kweli?We na wewe huna tofauti nae mana hujielewi!
Sasa bangi imeingia vipi apo?
Bangi wamevuta wakina Bob Marley, Tosh, lucky Dube, Fidel Castro ,Guevarra na mpaka leo wamekufa na heshima zao duniani....
wewe mtu anapigika na ugumu wa maisha unasema bangi imesababisha?
Pumbavu kweli
Mkuu umekunywa chai kweli?