Jephta2003
JF-Expert Member
- Feb 27, 2008
- 6,590
- 6,355
Aitoe wapi?Ana chura?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aitoe wapi?Ana chura?
mbona povu chief, ni dada yako nn [emoji23][emoji23][emoji23]We na wewe huna tofauti nae mana hujielewi!
Sasa bangi imeingia vipi apo?
Bangi wamevuta wakina Bob Marley, Tosh, lucky Dube, Fidel Castro ,Guevarra na mpaka leo wamekufa na heshima zao duniani....
wewe mtu anapigika na ugumu wa maisha unasema bangi imesababisha?
Pumbavu kweli
Hapo chura aka wowowo iko wapi sasa?Huyu hapa![]()
kibororoni [emoji125]mchaga wa wapi huyu????
Mkuu unataka kusebaje!? Make hamna uhusiano.Hivi siku ya ukimwi duniani si inaadhimishwa kila tarehe 1 Desemba?
atakuwa amehamiakibororoni [emoji125]
Mh!wanaume wameweka mgomo ataishia kuhudhuria harusi za wenzie wewe unazani kuna mwanaume anaeweza kuoa mwanamke wa akili hiiHivi kashaolewa huyu binti? nilikuwa nampendaga wakati yuko BBA
Mkuu hapo kuna uhusiano wa karibu kabisa.. Fuatilia mjadalaMkuu unataka kusebaje!? Make hamna uhusiano.
eti eeh...itakuwa basi!atakuwa amehamia
Wapi sasa!?Mkuu hapo kuna uhusiano wa karibu kabisa.. Fuatilia mjadala
Uku ni kujikubali nakoAngalau Feza amejikubali.
Wanawake Wengine hua hawajikubali. Ili wajikubali ni mpaka waweke:-.
makalio ya bandia,
Kifua cha Bandia,
Kucha za bandia,
Nywele za marehemu za bandia,
Nyusi za bandia,
Rangi ya ngozi bandia,
Sauti ya wizi,
Mwendo wa kutembea wa kutingisha ta.ko bandia.
Mkuu unaumwa mafua??maana hiyo typing mhMkuu unataka kusebaje!? Make hamna uhusiano.
Mkulima wa kilimo cha mboga mboga na vitunguu majiNdo nani huyo Tanzania anafanya kazi gani?
Ila kazuri kazuri.
mkuu pole sana maana nihatariSidhani kama nimeiponda, ila jamaa hakuelewa nini nimemaanisha.
Nilivyojua tu atakuwa amevuta tayari imebidi nijikaushe tu.
Mmeyasikia fezzakessy anayo yasema uko insta kwamba yeye ni mzuri kuliko beyonce,beyonce kamzidi pesa na kuimba ila kwa uzuri ata subiri sana
Fezzakessy anadai yeye ni mzuri kuliko wanawake wote duniani,ajaona mwanamke mrembo na mzuri kuliko yeye,prianca chopra kidogo ndo walau atakaribia uzuri wa fezzakessy.![]()