Fezza Kessy ajinadi live live

Fezza Kessy ajinadi live live

We na wewe huna tofauti nae mana hujielewi!
Sasa bangi imeingia vipi apo?

Bangi wamevuta wakina Bob Marley, Tosh, lucky Dube, Fidel Castro ,Guevarra na mpaka leo wamekufa na heshima zao duniani....
wewe mtu anapigika na ugumu wa maisha unasema bangi imesababisha?
Pumbavu kweli
mbona povu chief, ni dada yako nn [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu hapa
16a3ef3dec918a2c34316e05a43af0eb.jpg
Hapo chura aka wowowo iko wapi sasa?
 
Hivi kashaolewa huyu binti? nilikuwa nampendaga wakati yuko BBA
Mh!wanaume wameweka mgomo ataishia kuhudhuria harusi za wenzie wewe unazani kuna mwanaume anaeweza kuoa mwanamke wa akili hii
 
Angalau Feza amejikubali.

Wanawake Wengine hua hawajikubali. Ili wajikubali ni mpaka waweke:-.

makalio ya bandia,
Kifua cha Bandia,
Kucha za bandia,
Nywele za marehemu za bandia,
Nyusi za bandia,
Rangi ya ngozi bandia,
Sauti ya wizi,
Mwendo wa kutembea wa kutingisha ta.ko bandia.
Uku ni kujikubali nako
Sikuwa najua...ila unaweza ukajikubali for nothing ndo kama huyu bidada kujikubali si vibaya ila kavuka mipaka aisee
 
Mmeyasikia fezzakessy anayo yasema uko insta kwamba yeye ni mzuri kuliko beyonce,beyonce kamzidi pesa na kuimba ila kwa uzuri ata subiri sana
Fezzakessy anadai yeye ni mzuri kuliko wanawake wote duniani,ajaona mwanamke mrembo na mzuri kuliko yeye,prianca chopra kidogo ndo walau atakaribia uzuri wa fezzakessy.
8634362cf730be09ed4f55e5a42fc3b1.jpg

Huko insta kuna mambo
 
Back
Top Bottom