Fezza Kessy ajinadi live live

Fezza Kessy ajinadi live live

Huyu hapa
16a3ef3dec918a2c34316e05a43af0eb.jpg
Kawaida sana.
 
yani nimesumbuka sana first nimeenda setings za display nimeongeza mwanga wa simu bado sijaliona hilo WOWOWOO

nikasema maybe ni haya macho yangu nikavaa mawani bado sinajaliona hilo WOWOWOO

nisaidieni jaman wenzangu ambao mmeliona hilo WOWOWOO kwenye hiyo picha mmetumia mbinu gani
Hahahahaha...unamaliza siku yangu vizuri.
Kwa ushauri tumia miwani ya lenzi mkuu magnify lens labda utafanikisha ndoto zako
 
Mh yaani unamaanisha anafanya mapenzi ya jinsia moja kwamba ni msagaji??????
[emoji3][emoji118]


Mkuu alisemea kwenye instagram kwake huko.Ilivuma kiasi fulani nadhani,sema watu hawakuitilia maanani sana...

Ni something kweli alisema!

Anapenda sana sanaa na umaarufu ila ndio hivyo vinamkataa sana.Ni kama yupo confused kidogo.
 
Mkuu alisemea kwenye instagram kwake huko.Ilivuma kiasi fulani nadhani,sema watu hawakuitilia maanani sana...

Ni something kweli alisema!

Anapenda sana sanaa na umaarufu ila ndio hivyo vinamkataa sana.Ni kama yupo confused kidogo.
Anastahili lakini...sishangai hongera @fezzakessy
 
We na wewe huna tofauti nae mana hujielewi!
Sasa bangi imeingia vipi apo?

Bangi wamevuta wakina Bob Marley, Tosh, lucky Dube, Fidel Castro ,Guevarra na mpaka leo wamekufa na heshima zao duniani....
wewe mtu anapigika na ugumu wa maisha unasema bangi imesababisha?
Pumbavu kweli
Kwani hao uliowataja wana akili sawasawa? Samahani lkn
 
Uku ni kujikubali nako
Sikuwa najua...ila unaweza ukajikubali for nothing ndo kama huyu bidada kujikubali si vibaya ila kavuka mipaka aisee
Ni kujikubali kwa asilimia 100%

Unaita for nothing but kumbuka beuty is subjective. Kwa kiasi fulani kila mtu ana muono wake.

Hata hivyo Literaly Feza hawezi mfikia Beyonce
...lakini cha msingi haruhusu mtu yoyote am let down kwa maumbile yake alioumbiwa na Mungu.

Loving your self is the greatest love of all.
 
Mkuu alisemea kwenye instagram kwake huko.Ilivuma kiasi fulani nadhani,sema watu hawakuitilia maanani sana...

Ni something kweli alisema!

Anapenda sana sanaa na umaarufu ila ndio hivyo vinamkataa sana.Ni kama yupo confused kidogo.
Nyota haing'arii...
Aje kwangu nimpeleke akaoshwe
Anastahili lakini...sishangai hongera @fezzakessy
 
We na wewe huna tofauti nae mana hujielewi!
Sasa bangi imeingia vipi apo?

Bangi wamevuta wakina Bob Marley, Tosh, lucky Dube, Fidel Castro ,Guevarra na mpaka leo wamekufa na heshima zao duniani....
wewe mtu anapigika na ugumu wa maisha unasema bangi imesababisha?
Pumbavu kweli
Wee mbona una hasira sana au ni dadaake?
 
Mboga za majani [emoji1] [emoji1]
Hivi ndo uwaga vegitable?
Naomba kuuliza,kama mwanaume hana utimamu wa ...anaitwa kibamia,na mwanamke ambae hana utimamu wa chura ataitwaje?hilo jina Tumpe uyu fezzakessy nazani litamfaha vyema.
Enzi za miaka yetu 2003-2006 tulikua tunawaita Sony Wega.
 
Back
Top Bottom