Fezza Kessy ajinadi live live

Fezza Kessy ajinadi live live

anajidai zawadi ya kudumu ni kujaliwa wowowo ilhali sioni lolote hapo!
au sababu sijala mboga za majani muda mrefu?
Mboga za majani [emoji1] [emoji1]
Hivi ndo uwaga vegitable?
Naomba kuuliza,kama mwanaume hana utimamu wa ...anaitwa kibamia,na mwanamke ambae hana utimamu wa chura ataitwaje?hilo jina Tumpe uyu fezzakessy nazani litamfaha vyema.
 
Mboga za majani [emoji1] [emoji1]
Hivi ndo uwaga vegitable?
Naomba kuuliza,kama mwanaume hana utimamu wa ...anaitwa kibamia,na mwanamke ambae hana utimamu wa chura ataitwaje?hilo jina Tumpe uyu fezzakessy nazani litamfaha vyema.
yeah mboga za majani ndio vegetables..

hahahahaha aisee halafu umenena kweli inabidi litafutwe hilo jina
 
Huyu hapa
16a3ef3dec918a2c34316e05a43af0eb.jpg


Kumbe akili zake hazimtoshi .
 
Angalau Feza amejikubali.

Wanawake Wengine hua hawajikubali. Ili wajikubali ni mpaka waweke:-.

makalio ya bandia,
Kifua cha Bandia,
Kucha za bandia,
Nywele za marehemu za bandia,
Nyusi za bandia,
Rangi ya ngozi bandia,
Sauti ya wizi,
Mwendo wa kutembea wa kutingisha ta.ko bandia.
 
Back
Top Bottom