Fezza Kessy ajinadi live live

Fezza Kessy ajinadi live live

Cyril alimkubalia ombi lake kweli?
20180201_220236.png


[emoji115]Mzee Baba anajiondomola fresh.
 
We na wewe huna tofauti nae mana hujielewi!
Sasa bangi imeingia vipi apo?

Bangi wamevuta wakina Bob Marley, Tosh, lucky Dube, Fidel Castro ,Guevarra na mpaka leo wamekufa na heshima zao duniani....
wewe mtu anapigika na ugumu wa maisha unasema bangi imesababisha?
Pumbavu kweli
Mkuu hongera sana kwa kupambana na wanaoitukana bangi
 
Enzi za miaka yetu 2003-2006 tulikua tunawaita Sony Wega.
Hili jina liko vyema lakini lina kaugumu flani,ila nazani litatufaa
Kwaiyo chief miaka ya nyuma ma sony wega walipatikana kwa wingi sana mtaani kwenu
 
Mmeyasikia fezzakessy anayo yasema uko insta kwamba yeye ni mzuri kuliko beyonce,beyonce kamzidi pesa na kuimba ila kwa uzuri ata subiri sana
Fezzakessy anadai yeye ni mzuri kuliko wanawake wote duniani,ajaona mwanamke mrembo na mzuri kuliko yeye,prianca chopra kidogo ndo walau atakaribia uzuri wa fezzakessy.
8634362cf730be09ed4f55e5a42fc3b1.jpg
Sura hata mbuzi anayo si tunatazama wowowo
 
Wee mbona una hasira sana au ni dadaake?
Umeelewa nilichoandika ama umekurupuka??

Mimi nimeongelea huyo mjinga anayesema eti bangi imechangia kwa uyo demu kupagawa kumbe uyo ukute huko anapigika na ugumu wa maisha halafu mnakuja kusema eti bangi imechangia...

Sasa kusema ni dada angu imeingia vp apo....
nachosema ni hivi bangi sio sababu ya uwenda wazimu wa watu hapa nchini, ugumu wa maisha ndo kipimo cha wendawazimu!
 
Ishu hapa ni kua sio kila mwendawazimu kavuta bangi....

huyo mjinga ukute tatizo lake kubwa ni umri umeenda hajafanya cha maana, mara menopause ndo iyo inakaribia, huku kiki za muziki zinafeli, confusion tele, depression, stress, feeling rejected, uraibu wa viroba na pombe kali, hudhuni, mifadhaiko ya ugumu wa maisha, kukata tamaa, kutothaminika, na kudharaulika etc.....sasa kwa dizaini iyo ataacha kua mwehu kweli?? Hapana tena tushukuru amekua mwehu mana wenzake wa type yake huwa wanaishia kujiua....


Sasa mjinga mwengine anakuja kusema bangi izo bangi izo hao ndo wale mtu akiwa na macho mekundu ni anavuta bangi kumbe kuna kitu kinaitwa 'red eyes'...
Trust me bangi haiwezi kumfanya mtu akawa mbulula hata mara moja ukiona ivo ujue ni mbulula since birth so bangi imeboost umbulula wake tu!

Screenshot_20170613-114032.png

Screenshot_20170612-003235.jpg

20170611_111441.png


Mkuu naomba unisamehe kwa kukukwaza.

Nafuta kauli yangu.

Mkuu umekunywa chai kweli?

Jamaa ana hasira huyo balaa.

Ha ha ha!

Nimemshangaa tu, itakuwa hajagombana na mtu kwa suku za hivi karibuni.

Kwa hiyo anachokoza chokoza kutafuta wa kutukanana naye.

Pale unapoiponda bangi wkt wadau wake tupo wengi humu

Sidhani kama nimeiponda, ila jamaa hakuelewa nini nimemaanisha.

Nilivyojua tu atakuwa amevuta tayari imebidi nijikaushe tu.

Bado imo kichwani kutoka mjengoni BBA

Bangi mbaya sana!!

Mkuu hongera sana kwa kupambana na wanaoitukana bangi

*sasa iyo picha ya chini apo..huyo mjinga anaeonyesha siku yake ya kwanza kuingia kwenye nyumba ya mke wake nae si mtasema bangi eeti???
Kumbe sababu sio bangi ni ulimbukeni na kupenda vya bure...jifunzeni kuwa na logic ktk reasoning zenu.....
 

Attachments

  • Screenshot_20180114-022016.png
    Screenshot_20180114-022016.png
    44.3 KB · Views: 42
Writing Under Influence (WUI)
Seee!
Tunarudi kule kule, communication is broken down, you don't get me!
Don't u know anythin about 'logic reasoning'????

Yani unakuta mbulula ni limbukeni uko unakuja kusema herb imechangia??
Basi wakina Bob Marley, Fidel , Guevarra, Obama wangeongoza kua malimbukeni wakubwa......
 
Seee!
Tunarudi kule kule, communication is broken down, you don't get me!
Don't u know anythin about 'logic reasoning'????

Yani unakuta mbulula ni limbukeni uko unakuja kusema herb imechangia??
Basi wakina Bob Marley, Fidel , Guevarra, Obama wangeongoza kua malimbukeni wakubwa......

Ni ngumu sana kuelewana na mvuta bangi.
 
Back
Top Bottom