Amalinze
JF-Expert Member
- May 6, 2012
- 6,780
- 5,305
Kishumundu.mchaga wa wapi huyu????
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kishumundu.mchaga wa wapi huyu????
Enaa beee pangi agaya luhala vamsindike ku milembe 😎 😎uwutamwa wa luhala uwu!
Cyril alimkubalia ombi lake kweli?
Mkuu hongera sana kwa kupambana na wanaoitukana bangiWe na wewe huna tofauti nae mana hujielewi!
Sasa bangi imeingia vipi apo?
Bangi wamevuta wakina Bob Marley, Tosh, lucky Dube, Fidel Castro ,Guevarra na mpaka leo wamekufa na heshima zao duniani....
wewe mtu anapigika na ugumu wa maisha unasema bangi imesababisha?
Pumbavu kweli
wivu gani?Punguza wivu utaliona
Hili jina liko vyema lakini lina kaugumu flani,ila nazani litatufaaEnzi za miaka yetu 2003-2006 tulikua tunawaita Sony Wega.
Maskini,,rule namba 1 make her smile imemfanya awe disapointed,naona muhitikio wa fezzakessy upo mkubwa mno,ana haki ya kupata kichaa kama katendwa
Sura hata mbuzi anayo si tunatazama wowowoMmeyasikia fezzakessy anayo yasema uko insta kwamba yeye ni mzuri kuliko beyonce,beyonce kamzidi pesa na kuimba ila kwa uzuri ata subiri sana
Fezzakessy anadai yeye ni mzuri kuliko wanawake wote duniani,ajaona mwanamke mrembo na mzuri kuliko yeye,prianca chopra kidogo ndo walau atakaribia uzuri wa fezzakessy.![]()
kiazi mviringoNaomba kuuliza,kama mwanaume hana utimamu wa ...anaitwa kibamia,na mwanamke ambae hana utimamu wa chura ataitwaje?.
chukua misokoto miwili kwa aire nakuja kulipa hahahahaVichwa vingine havihimili mishindo ya bangi kabisa
Umeelewa nilichoandika ama umekurupuka??Wee mbona una hasira sana au ni dadaake?
Mkuu naomba unisamehe kwa kukukwaza.
Nafuta kauli yangu.
Mkuu umekunywa chai kweli?
Jamaa ana hasira huyo balaa.
Ha ha ha!
Nimemshangaa tu, itakuwa hajagombana na mtu kwa suku za hivi karibuni.
Kwa hiyo anachokoza chokoza kutafuta wa kutukanana naye.
Pale unapoiponda bangi wkt wadau wake tupo wengi humu
Sidhani kama nimeiponda, ila jamaa hakuelewa nini nimemaanisha.
Nilivyojua tu atakuwa amevuta tayari imebidi nijikaushe tu.
Bado imo kichwani kutoka mjengoni BBA
Bangi mbaya sana!!
Mkuu hongera sana kwa kupambana na wanaoitukana bangi
Kumbe sababu sio bangi ni ulimbukeni na kupenda vya bure...jifunzeni kuwa na logic ktk reasoning zenu.....
Seee!Writing Under Influence (WUI)
Seee!
Tunarudi kule kule, communication is broken down, you don't get me!
Don't u know anythin about 'logic reasoning'????
Yani unakuta mbulula ni limbukeni uko unakuja kusema herb imechangia??
Basi wakina Bob Marley, Fidel , Guevarra, Obama wangeongoza kua malimbukeni wakubwa......
OkayNi ngumu sana kuelewana na mvuta bangi.
Nasubiria jibu hapaCyril alimkubalia ombi lake kweli?