Fezza Kessy ajinadi live live

Fezza Kessy ajinadi live live

Huyu hapa
16a3ef3dec918a2c34316e05a43af0eb.jpg
[emoji15] ndo huyu?
 
Halafu mkuu usisahau kwamba unaweza kuvuta ikaufanya chizi halafu ukawa unawaona wenzio ndo machizi, nilihisi tu jamaa itakuwa tayari naye.

Jamaa kashindwa hata kusoma mstari kwa mstari nini nilichomaanisha, ikabidi nimwombe tu samahani.
Huyu atakuwa mtu wa mara
 
Mmeyasikia fezzakessy anayo yasema uko insta kwamba yeye ni mzuri kuliko beyonce,beyonce kamzidi pesa na kuimba ila kwa uzuri ata subiri sana
Fezzakessy anadai yeye ni mzuri kuliko wanawake wote duniani,ajaona mwanamke mrembo na mzuri kuliko yeye,prianca chopra kidogo ndo walau atakaribia uzuri wa fezzakessy.
8634362cf730be09ed4f55e5a42fc3b1.jpg
Asituchoshe hapa!!,mzuri Yesu aliye umba hao wabaya anao waona
 
Huyo dada anajulikana anakula mmea
Ndo maana nimeandika hivyo
Kama haujui story yake ....jioni njema.
Mmea walikula wakina Bob Marley ndo wanatoa conscious za maana...huyo mpumbavu ni stress za menopause zinachangia
 
Back
Top Bottom