Program Manager
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 2,763
- 3,955
[emoji1787][emoji1787] nafikiri utakwama tu kwenye namba ambayo utataka wakutumie hilo bugana labda uwe na namba za mitandao ya huko KUNYALANDHv unawez kutumia hii VPN......kuwakopa tala waliokimbilia Kenya.......
sifahamu mkuu, ngoja tumtag Mwl.RCTChief-Mkwawa et al. Please tunaomba msaada wa namna ya kutumia VPN katika interner na pia nadhani unatoa huduma za Virtual xxxx kwa ajili ya internet ya gharama nafuu.
Kuna jamaa mmoja nmemsahau jina lake alikuwa anatoa huduma huyo pia kwa jina la mwl.somebody kama sikosei kipindi cha nyuma sana.unalipia akaunt kwa mwezi unapiga kazi. Naomba nifahamu kama huduma bado ipo.
Mkuu naweza kukutengenezea Nord Vpn ya premium kwa miaka mitatu utalipia 60000. Karibu kama uko interestedChief-Mkwawa et al. Please tunaomba msaada wa namna ya kutumia VPN katika interner na pia nadhani unatoa huduma za Virtual xxxx kwa ajili ya internet ya gharama nafuu.
Kuna jamaa mmoja nmemsahau jina lake alikuwa anatoa huduma huyo pia kwa jina la mwl.somebody kama sikosei kipindi cha nyuma sana.unalipia akaunt kwa mwezi unapiga kazi. Naomba nifahamu kama huduma bado ipo.
Ewe gwiji wa kugha, sarufi ya wapi hii?[emoji848]Let me try I will be back if I failing
sarufi ya mwendokasEwe gwiji wa kugha, sarufi ya wapi hii?[emoji848]
sent from Samsung Galaxy A30
Naona inapondwa vpn yao
There is a very fierce battle for data acquisition. So I qualify your doubts.Nina hofu kubwa kuwa wanaotuhimiza kutumia hii application ya VPN wana mpango maalumu wa kudukua taarifa binafsi za watu.
Naamini tutashuhudia mlipuko wa madhara ya kudukuliwa very soon.
Download kupitia google mkuu.. Ukishindwa njoo pm nikupe linkJamani huko Playstore kwenye pia hakufunguki!!
Kiukweli aliyefanya huu ujinga alaaniwe!!,yaani haelewi ni kiasi gani nimepoteza pesa!![emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
mkuu naomba msaada namna ya kutumia built in VPN kenye windows 10sifahamu mkuu, ngoja tumtag Mwl.RCT
Hapo unanunua ama jisajili kampuni husika ndio utapewa details za kujaza humo.mkuu naomba msaada namna ya kutumia built in VPN kenye windows 10
ahsante sana mkuu Chief-MkwawaHapo unanunua ama jisajili kampuni husika ndio utapewa details za kujaza humo.
Pitia hapa kuna details za bure
Nawezaje kupata VPN bila kuwa na App?
Wakuu salam, Samahani hivi inawezekana kuwa VPN bila kuwa na app? Maana kwenye simu kuna ile sehemu ya ku add vpn yaani ile alama ya +, tafadhali naomba mwongozo. Asanteni sanawww.jamiiforums.com