Ficha IP Adress yako kwa kutumia VPN (Android users)

wewe baki kusema does not make sense Wenzio wanafurahia unlimited data with 0 balance na 0mb
Offer! TunnelGuru Vouchers & PD Proxy Vouchers for only 6500/- Each
[TroidVPN for Android v4.x.x] Jipatie 1GB FOR FREE kila Siku
 
Hahaha.

Halafu watu wengi wanachanganya neno "aidha" la Kiswahili, lenye maana "zaidi" au "pia" na neno "either" la kiingereza, lenye maana "ama".
Aisee ni kweli...ila Kiswahili kama lugha ni ngumu aiseee, sasa na waswahili wenyewe mweeeeee... Ni nomaaaaaa.

Hahahahahahahahaha
 
Mkuu huu uzi mbona haufunguki How to scan for Free Open
Ports in Any ISP for Free
Internet?
Msaada tafadhali
 
huu uzi utafumbua jambo mitandao yaingia hasara so bado wanatafuta wanojua loop hole wazibane vizuri hali ya uchumi sio nzuri take care wahusika msijiachie humu hizi ni illegal issue.
 
kunakuwa na ports ambazo hazijafungwa, vpn yenyewe inatumia hizo ports, hivyo matumizi yako yote yanapitishwa kwenye hizo ports.

na kwa developer ambaye lengo lake si kutoa huduma ya vpn bali kutumia vpn kupata net ya bure anakuwa anaeka tools za kukusaidia au kutafuta upenyo kwenye mtandao husika kama vile port scan etc
 
Za jioni jaman me nina shida nataka kujua jinsi ya kutumia mtandao wa vpn yaan (virtual private network) ambaye ana knowledge jaman atoe somo asante
 
Inaonekana wataamu wamesahau password za ku log in JF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…