Ficha IP Adress yako kwa kutumia VPN (Android users)

Ficha IP Adress yako kwa kutumia VPN (Android users)

Natumia free vpn nimepata playstore kwa kuangalia comment za member nikajiridhisha nami nikapakua hivi unapotumia unakuwa unaliwa mbs kadhaa nawe unapewa mbs kadhaa kama picha yangu inavyoonesha hapa chini[emoji116]

Screenshot_20171214-220953.png


NAOMBENI MUONGOZO MZURI NIPATE KUFAHAMU ASEE .. MKUU CHIEF MKWAWA NA WENGINEO WENYE UELEWA PAMBANUENI HUU UZI , PILI KAMA KUNA VPN NAWEZA KUWA NATUMIA KUCONTROL MBS ZANGU ZISILIKE KWA WINGI NISAIDIENI .
 
Natumia free vpn nimepata playstore kwa kuangalia comment za member nikajiridhisha nami nikapakua hivi unapotumia unakuwa unaliwa mbs kadhaa nawe unapewa mbs kadhaa kama picha yangu inavyoonesha hapa chini[emoji116]

View attachment 651333

NAOMBENI MUONGOZO MZURI NIPATE KUFAHAMU ASEE .. MKUU CHIEF MKWAWA NA WENGINEO WENYE UELEWA PAMBANUENI HUU UZI , PILI KAMA KUNA VPN NAWEZA KUWA NATUMIA KUCONTROL MBS ZANGU ZISILIKE KWA WINGI NISAIDIENI .
kwanza nikuulize swali kwanini umeamua kumtumia VPN? kama haujui matumizi tukusaidie hapa
 
Kusave money? VPN ni kwa ajili ya kukuweka anonymous kwenye net yani Wanakupa IP ya nchi tofauti na yako
 
[emoji22] [emoji22] nieleweshe kiongozi
vizuri
App ya vpn hii inakupa uwezo wa kubadili IP address yako na kupata ya nchi nyingine mfano wewe upo tanzania unaweza kuwasha vpn na kuchagua server za USA na mtandaoni ukaonekana upo USA
Ip addres ni nini? huu ni utambulisho unaopewa na internet service provider ISP wako kama voda au tigo unapotumia internet unaweza kuangalia hapa detail zako Whats My IP Address| Check IP Information
matumizi ya vpn ni kuweka usiri wa taarifa zako ukiwa unatumia internet mfano ukiwa unatumia internet bila vpn basi ISP wako atakuwa anajua website na app zote ulizotembelea kama jamii forums instagram au facebook
nchi nyingi zilizozuiwa baadhi ya mitandao kama vile china na korea kaskazini inawalazimu watumie vpn ili kuipata mitandao hiyo iliyokuwa blocked nchini kwao kama vile whatsapp na instagram
kwangu mimi natumia vpn ili kuaccess app ambazo zimezuiliwa bongo kana vile spotify, na vile vile kujikinga kwenye mitandao ambayo siiamini maana mtu anaweza kukuhack akijua IP address yako halisi
 
vizuri
App ya vpn hii inakupa uwezo wa kubadili IP address yako na kupata ya nchi nyingine mfano wewe upo tanzania unaweza kuwasha vpn na kuchagua server za USA na mtandaoni ukaonekana upo USA
Ip addres ni nini? huu ni utambulisho unaopewa na internet service provider ISP wako kama voda au tigo unapotumia internet unaweza kuangalia hapa detail zako Whats My IP Address| Check IP Information
matumizi ya vpn ni kuweka usiri wa taarifa zako ukiwa unatumia internet mfano ukiwa unatumia internet bila vpn basi ISP wako atakuwa anajua website na app zote ulizotembelea kama jamii forums instagram au facebook
nchi nyingi zilizozuiwa baadhi ya mitandao kama vile china na korea kaskazini inawalazimu watumie vpn ili kuipata mitandao hiyo iliyokuwa blocked nchini kwao kama vile whatsapp na instagram
kwangu mimi natumia vpn ili kuaccess app ambazo zimezuiliwa bongo kana vile spotify, na vile vile kujikinga kwenye mitandao ambayo siiamini maana mtu anaweza kukuhack akijua IP address yako halisi
oky nimesoma vema na nimekuelewa
 
Wakuu habari za majukumu, nimekuwa nikisikia VPN ikitajwa tajwa sana, naombeni elimu kuhusu hiki kitu, pia kinatumikaje kwa upande wa data kuingia katika mitandao ya kijamii nk....

Naombeni msaada wa kielimu katika hili.

Asanteni sana na Mungu awabariki.
 
Virtual private network ni mfumo ulioanzishwa mwanzo kwajili ya biashara kubwa baadae hata watumiaji binafsi walilazimika kutumia ,

Mfano: coca cola company iko karibu dunia nzima bila kutumia vpn wangelazimika kutumia cables kuunganisha office zao mfano Canada, Georgia, Tanzania ila haiwezekani kwaiyo watatumia internet na vpn itahusika hapo ili kulinda taarifa zao kutoka kwa hackers.

Mfumo huu unaosaidia ukiwa kwenye mtandao usionekane uko wapi(hide your location), pia unakusaidia kuficha taarifa zako (data encryption), pia unakusaidia kuingia website zilizofungiwa(unblock site) sehemu uliopo mfano ukiwa china sites kama YouTube, google, facebook, zimefungiwa ukitaka kiziacces lazma utumie vpn,

Vpn pia inauwezo wakuficha I.p address yako isijulikane iko wapi?

Vpn zipo nyingi na kila moja ina idadi ya servers , zipo za free na zipo zakulipiwa kwa jinsi yakutumia vpn ingia YouTube kila moja ina jinsi yaku install + configuration. .
 
Virtual private network ni mfumo ulioanzishwa mwanzo kwajili ya biashara kubwa baadae hata watumiaji binafsi walilazimika kutumia ,
Mfano: coca cola company iko karibu dunia nzima bila kutumia vpn wangelazimika kutumia cables kuunganisha office zao mfano Canada, Georgia, Tanzania ila haiwezekani kwaiyo watatumia internet na vpn itahusika hapo ili kulinda taarifa zao kutoka kwa hackers.
Mfumo huu unaosaidia ukiwa kwenye mtandao usionekane uko wapi(hide your location), pia unakusaidia kuficha taarifa zako (data encryption), pia unakusaidia kuingia website zilizofungiwa(unblock site) sehemu uliopo mfano ukiwa china sites kama YouTube, google, facebook, zimefungiwa ukitaka kiziacces lazma utumie vpn,
Vpn pia inauwezo wakuficha I.p address yako isijulikane iko wapi?
Vpn zipo nyingi na kila moja ina idadi ya servers , zipo za free na zipo zakulipiwa kwa jinsi yakutumia vpn ingia YouTube kila moja ina jinsi yaku install + configuration. .
Asante mkuu na hili neno LCD ktk monitor huwa linamaanisha nini na nini hasa hii maana utaskia hii ni LCD Mara LED,
 
Back
Top Bottom