Ficha IP Adress yako kwa kutumia VPN (Android users)

Ficha IP Adress yako kwa kutumia VPN (Android users)

Virtual Private Network ni aina ya network ambayo ina "encrypt"(inazificha) taarifa zote unazotuma na kupokea katika internet ama network yeyote kwa kutumia keys(private na public keys).
Protocols ambazo zinatumika ku-encrypt data ni SSL ambayo inatengeneza kitu kinaitwa "tunneling", yaani kwenye internet kuna devices nyingi ziko interconnected sasa vpn inakuwa inatengeneza kitu kama hole (tundu) la kupitisha data kwa hiyo networks nyingine zinakuwa ni ngumu kuona zile data na pia vpn inafanya device ionekane ipo location nyingine kwa kupewa IP tofauti.
what-is-vpn-how-it-works-need-of-vpn.jpg

Nadhani hiyo inaweza kukusaidia kuelewa ninachokieleza.
Moja ya kazi kubwa ya vpn inasaidia ku-access blocked website ndani ya nchi husika.
 
VPN ........loading....... kidogo ni somo refu japo naweza ku summarize kiasi lakini ntamis key points
 
Ahsante sana. Swali dogo, tunatumia mbs hizi za kawaida?
Virtual Private Network ni aina ya network ambayo ina "encrypt"(inazificha) taarifa zote unazotuma na kupokea katika internet ama network yeyote kwa kutumia keys(private na public keys).
Protocols ambazo zinatumika ku-encrypt data ni SSL ambayo inatengeneza kitu kinaitwa "tunneling", yaani kwenye internet kuna devices nyingi ziko interconnected sasa vpn inakuwa inatengeneza kitu kama hole (tundu) la kupitisha data kwa hiyo networks nyingine zinakuwa ni ngumu kuona zile data na pia vpn inafanya device ionekane ipo location nyingine kwa kupewa IP tofauti.
what-is-vpn-how-it-works-need-of-vpn.jpg

Nadhani hiyo inaweza kukusaidia kuelewa ninachokieleza.
Moja ya kazi kubwa ya vpn inasaidia ku-access blocked website ndani ya nchi husika.
 
Mwenye uelewa zaidi naomba aeleze pia, kwasababu nimekuwa nainstall vpn, lakini inakuwa muda mwingi haifanyi kazi
 
Virtual Private Network ni aina ya network ambayo ina "encrypt"(inazificha) taarifa zote unazotuma na kupokea katika internet ama network yeyote kwa kutumia keys(private na public keys).
Protocols ambazo zinatumika ku-encrypt data ni SSL ambayo inatengeneza kitu kinaitwa "tunneling", yaani kwenye internet kuna devices nyingi ziko interconnected sasa vpn inakuwa inatengeneza kitu kama hole (tundu) la kupitisha data kwa hiyo networks nyingine zinakuwa ni ngumu kuona zile data na pia vpn inafanya device ionekane ipo location nyingine kwa kupewa IP tofauti.
what-is-vpn-how-it-works-need-of-vpn.jpg

Nadhani hiyo inaweza kukusaidia kuelewa ninachokieleza.
Moja ya kazi kubwa ya vpn inasaidia ku-access blocked website ndani ya nchi husika.

Na pia, kwenye browser nyingine utakuta kuna incognito mode what does it mean...?

Thanks.
 
Kwa nini inaitwa VIRTUAL network wakati ni network ya ukweli?

Kwa mfano uliotumia wa COCA COLA Company, wafanyakazi au ofisi za kampuni popote duniani wanaweza kukutana ( kuwasiliana na ku access data za kampuni kwenye network moja), at the exclusion of all other unathorized guests, which means ni network ya ukweli.

Why VIRTUAL?

Virtual kwa vile ipo ndani ya software na haipo kwenye hardware yaani ukiwa ndani ya VPN haujali zile router/switch zilizopo chini yake, unapozima VPN na "Network" yenyewe inafumuka.
 
How to use it?
Umefika muda sasa mtuelekeze jinsi ya kuitumia.
Huyu jamaa atafunga mitandao mingi sana soon
 
Back
Top Bottom