Fid q awaomba radhi wasafi asema alikuwa hajielewi na awezi kuwa kinyume na Clouds media

Fid q awaomba radhi wasafi asema alikuwa hajielewi na awezi kuwa kinyume na Clouds media

Kuomba msamaa kwa fid q haitafanya isaulike shit alioitema babu talent

Hii unapata kuona unakua na rafik lakn mkipishana kiswahil tu anakuweka uchi
Wabongo tujifunze kwa hili
 
Well said Mkuu, na hapo ndipo wasanii wanapokosea na mwisho inakula kwao, hawajui nafasi zao kama wasanii, wanashindwa kujijenga na kuamini nguvu ya vipaji vyao na kuweza kujisimamia wao wenyewe.
Yah wasanii inabidi wabaki neutral maana wasichague upande in the long run hata hao WCB inaweza turn out wakawa kama clouds tu maana babu tale na Sallam Sk nao si wale wale tu. So wabaki neutral wapige ela kote kote
 
Mara kwanza sikuamini kama Fid q kaongea hivi as long mwenyewe kakubali ni kweli alikosea kuwaita mafala ,japokuwa aliweka kimafumbo .Tatizo kubwa la wasanii wa Tanzania hawajiamini SUGU kipindi kile ana fight alionekana kama mtukutu na wasanii wakamtenga,Jide nae kajikakamumua mpaka wasanii wenzake wakamtenga lakini akafanikiwa kufanya mambo yake.

Mondi na WCB nao naona wameamua kujitegemea naona wasanii wenzao nao wanampiga vita.Siku zote hauwezi kuwa ww peke yako,ili uwe bora lazima upewe changamoto.Miaka ya nyuma kulikuwa na watu wanaanda matamasha makubwa kaletwa kanda bongoman,brenda fasie,vyone chakachaka,koffi olomide nk na yakafanyika matamasha makubwa.

Ila walivyokuja hawa CMG wakagundua ,kuna baadhi ya mikoa inakosa burudani na ndio maana wakaja na Fiesta na CMG .Kumbuka hata huko nyuma Radio kubwa zilikuwa Radio One na Radio free wakaja wao wakafanya mapinduzi,Hivyo hivyo nao WCB nao wameona fursa wanatakiwa waitumie na kweli wameitumia ,sioni kosa apo japo kuna watu eti wanasema hawana adabu.

Lakini ukitaka kujua fitina za CMG muulize Majizo(wengine Sugu,Jide),hamna mtu aliyekuwa kapigwa fitina tena fitina za kutatisha tamaa kama Majizo,bahati nzuri jamaa mpambanaji mpaka leo hii nae anatamasha lake la KOMAA CONCERT .Wasanii wanatakiwa kuwa kama service provider kwa haya matamasha na kuhusu ubora wa matamasha waachie waandaaji na si kuwa mashabiki kwani kwao haitawajenga kiuchumi,hivi vijembe vya mafumbo havitawasaidia wawachie waandaaji wao ndo wapigane vijembe.
Nawe unaonekana una tabia ya kushadadia vimaneno
 
Yah wasanii inabidi wabaki neutral maana wasichague upande in the long run hata hao WCB inaweza turn out wakawa kama clouds tu maana babu tale na Sallam Sk nao si wale wale tu. So wabaki neutral wapige ela kote kote
Upo sahihi Sana mkuu kwenye biashara hakuna rafiki wa kudumu
 
Upo sahihi Sana mkuu kwenye biashara hakuna rafiki wa kudumu
Kabisa mkuu mwanzilishi wa biashara siku zote uwa haanzishi kukufaidisha wewe anaanzisha kujifadisha mwenyewe na kumaximize profit, so wasiwe na upande wabaki neutral kubalance power wasije wakatengeneza monoploy redio nyingine
 
Msukuma mshamba huyu analeta ugomvi wa mawe wakati anaishi nyumba ya vioo umekipata cha moto sasa
 
Mara kwanza sikuamini kama Fid q kaongea hivi as long mwenyewe kakubali ni kweli alikosea kuwaita mafala ,japokuwa aliweka kimafumbo .Tatizo kubwa la wasanii wa Tanzania hawajiamini SUGU kipindi kile ana fight alionekana kama mtukutu na wasanii wakamtenga,Jide nae kajikakamumua mpaka wasanii wenzake wakamtenga lakini akafanikiwa kufanya mambo yake.

Mondi na WCB nao naona wameamua kujitegemea naona wasanii wenzao nao wanampiga vita.Siku zote hauwezi kuwa ww peke yako,ili uwe bora lazima upewe changamoto.Miaka ya nyuma kulikuwa na watu wanaanda matamasha makubwa kaletwa kanda bongoman,brenda fasie,vyone chakachaka,koffi olomide nk na yakafanyika matamasha makubwa.

Ila walivyokuja hawa CMG wakagundua ,kuna baadhi ya mikoa inakosa burudani na ndio maana wakaja na Fiesta na CMG .Kumbuka hata huko nyuma Radio kubwa zilikuwa Radio One na Radio free wakaja wao wakafanya mapinduzi,Hivyo hivyo nao WCB nao wameona fursa wanatakiwa waitumie na kweli wameitumia ,sioni kosa apo japo kuna watu eti wanasema hawana adabu.

Lakini ukitaka kujua fitina za CMG muulize Majizo(wengine Sugu,Jide),hamna mtu aliyekuwa kapigwa fitina tena fitina za kutatisha tamaa kama Majizo,bahati nzuri jamaa mpambanaji mpaka leo hii nae anatamasha lake la KOMAA CONCERT .Wasanii wanatakiwa kuwa kama service provider kwa haya matamasha na kuhusu ubora wa matamasha waachie waandaaji na si kuwa mashabiki kwani kwao haitawajenga kiuchumi,hivi vijembe vya mafumbo havitawasaidia wawachie waandaaji wao ndo wapigane vijembe.
Nimekuelewa saana mkuu, kwenye maisha kipindi cha utafutaji utakutana na changamoto nyingi saana ila kikubwa ni kukaza roho na kusonga mbele haijalishi wangap watakusapoti
 
Sawa...tungoje respond ya Wasafi...labda Babu tale naye ataomba msamaha kwa kusema jamaa hana gari na analelewa.

Bongo yetu bana....!
Ni kweli kabisa hana na ana lelewa
 
Well said Mkuu, na hapo ndipo wasanii wanapokosea na mwisho inakula kwao, hawajui nafasi zao kama wasanii, wanashindwa kujijenga na kuamini nguvu ya vipaji vyao na kuweza kujisimamia wao wenyewe.
Sagu hii imenifanya nisite kuendelea kuamini kama kweli Fid q ana uwezo mzuri wa kufikiri
 
Back
Top Bottom