Fid Q: Hakuna kitu rahisi kwa sasa kama kudata. Kwa haya ya BASATA ni wazi wasanii watadata sana

Mkuu ukiachaga mambo ya Uccm unakuaga na akili sana....ila ukiingiza tu mambo yako yale ya nyundo na jembe sijui,unapuyanga mnooπŸ˜€πŸ˜€
Mkuu sema kwa kuwa huwa unazichukia hizo rangi ndio maana uwezi ona jema la maana kutoka kwa wenye hizo rangi..... hahahaha buraza...buraza
 
Wao wamekalia ushalobalo tu mama leo nywele ikae hivi mala kesho ikae vile!! yaani taabu kwelikweli..
 
Chama Chao Tuma Kipo Wapi?
Fiesta Mwaka Huu Ipo Kweli?
 
Wanalia nini!?
Maendeleo yana uchungu wake.
Mlivyokuwa mnakula hela za kampeni.
MLIJIULIZA ZILIKUWA ZINATOKA WAPI?
 
Mkuu sema kwa kuwa huwa unazichukia hizo rangi ndio maana uwezi ona jema la maana kutoka kwa wenye hizo rangi..... hahahaha buraza...buraza
Ila tuko pamoja sana kwenye ishu za burudani za Ki WCBπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Serikali ya Tanzania ina tabia ya kumkamua ng'ombe maziwa kabla ya kumlisha. Atoe mpaka damu afe.

Si kwenye sanaa tu. Hata kwenye kodi na fees za kuanzisha biashara watu wanakatwa sana hata kabla hawajaanza biashara.
 
Ndugu wakigombana shika jembe ukalime

ugomvi wa maccm na wasanii mm sijishugulish nao

Na nikipata chance ya kukutana na basata ntawakumbusha kodi za kwenye Youtube

wananchi tunaliaga sana lkn kwenye kampeni hua wanatugeuka
 
Hawa wasanii wanastahili haya yanayo endelea,wasitafute huruma ya jamii, stahiki yao hakika ndiyo hii.
 
Ndugu wakigombana shika jembe ukalime

ugomvi wa maccm na wasanii mm sijishugulish nao

Na nikipata chance ya kukutana na basata ntawakumbusha kodi za kwenye Youtube

wananchi tunaliaga sana lkn kwenye kampeni hua wanatugeuka
Kwani hawatakiwi kuwa huru kuangalia wa kuwa support?
 
Hadi wawe na akili hizo!!acha waisome namba kwani mambo yanayoendelea nchini huwa wanaona hayawahusu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…