Mwinchumu2019
Member
- Jun 9, 2019
- 59
- 99
“Kama mnavyojua kuwa Alikiba ni mmoja wa wasanii wenye kibri na chuki ambazo zimejificha lakini kama utakuwa una mfatilia mwenendo wake kwenye sanaa utagundua kuwa Alikiba ni mtu mwenye kibri ,majivuno na chuki zisizo za msingi”
Mkuu hiyo kauli yako ni bahati mbaya au umeandika kwa makusud!?
Kwann unataka kutuaminisha sote unachoamini ww kwa Ally Kiba!?
Huo ni mtazamo wako binafsi mzee, wengine hatuon tatz lolote kwa Ali Kiba kibri, Jeuri hyo ni maoni yako na mtazamo wako na kimsingi ndyo kazi ya kichwa chako, kifkirie nin xax km kimejaa mitazamo hasi juu ya maisha ya watu....
Mkuu nikuombe usitusaidie kufikir sisi wengine tafadhali, sema mtazamo tu usihitimishe.
Mwisho ili tukujibu tuhuma zako leta facts siyo mihemko na hisia zako mfano;
1. Tuambie kwann kna Ali Kiba walinyanyuka, je ni kweli walinyanyuka kwa kumkimbia Konde boy!? Na kwann!? Wana hoja gan!?
2. Sababu za msingi za Konde boy kuchelewa msiban n zipi!? Ni kweli dharula au alitaka attention km watoto wa Wcb kawaida yao!?
Mkuu hiyo kauli yako ni bahati mbaya au umeandika kwa makusud!?
Kwann unataka kutuaminisha sote unachoamini ww kwa Ally Kiba!?
Huo ni mtazamo wako binafsi mzee, wengine hatuon tatz lolote kwa Ali Kiba kibri, Jeuri hyo ni maoni yako na mtazamo wako na kimsingi ndyo kazi ya kichwa chako, kifkirie nin xax km kimejaa mitazamo hasi juu ya maisha ya watu....
Mkuu nikuombe usitusaidie kufikir sisi wengine tafadhali, sema mtazamo tu usihitimishe.
Mwisho ili tukujibu tuhuma zako leta facts siyo mihemko na hisia zako mfano;
1. Tuambie kwann kna Ali Kiba walinyanyuka, je ni kweli walinyanyuka kwa kumkimbia Konde boy!? Na kwann!? Wana hoja gan!?
2. Sababu za msingi za Konde boy kuchelewa msiban n zipi!? Ni kweli dharula au alitaka attention km watoto wa Wcb kawaida yao!?