Fid Q nani kakuloga? Umeanza kurithi ujinga na Chuki za Ali Kiba dhidi ya wasanii wenzake! Walichokifanya msibani ni kitendo cha kijinga na kishamba!

Fid Q nani kakuloga? Umeanza kurithi ujinga na Chuki za Ali Kiba dhidi ya wasanii wenzake! Walichokifanya msibani ni kitendo cha kijinga na kishamba!

Upuuzi tu..we ulitaka waondoke muda gani?
 

maadili yetu yapo wapi nikayasome ??

Maadili kwa kiasi kikubwa ni unwritten rules..

Nikuulize wewe , unaweza kumpiga denda Dada yako /Mama yako ?kama huwezi imeandikwa wapi ni marufuku kumpiga denda Dada yako/mama yako ?
 
Nipsey Hussle hakuwa na walinzi alipopigwa risasi? 2 Pac je? Biggie je? Watu wakiamua kukuua wanakuua tu, wanauawa marais wenye convoy za walinzi ndiyo itakuwa Harmonize? Unapaswa kujifunza kusocialize na watu, leo unapojenga ukuta just because wewe ni msanii wa Bongo Fleva, mabodigadi kama wote, dharau na kibri kwa sababu umefanikiwa kidogo ni ushamba! Kwa hiyo kwa akili yako Harmonize ni mkubwa kuliko Ali Kiba?
Wakati Pac anapigwa bomba hakuwa na walinzi, Biggie anapigwa machine hakuwa na walinzi.... Hata huyu Nipsey angekuwa na walinzi asingeuwawa namna ile, ulinzi ni muhimu kwa aisee kwa macelebrit
 
Wakati Pac anapigwa bomba hakuwa na walinzi, Biggie anapigwa machine hakuwa na walinzi.... Hata huyu Nipsey angekuwa na walinzi asingeuwawa namna ile, ulinzi ni muhimu kwa aisee kwa macelebrit
Kwa hiyo walinzi ndiyo wanazuia usiuawe? Na wale marais wote wa Marekani wakati wanauawa nao hawakuwa na walinzi? Na wote wasio na walinzi wanauawa?
 
Kwani Ali Kiba na Fid Q ndio wamefiwa mpaka wapewe mkono wa Pole?
Wasalaam wana jamvi!

Kama mnavyojua kuwa Alikiba ni mmoja wa wasanii wenye kibri na chuki ambazo zimejificha lakini kama utakuwa una mfatilia mwenendo wake kwenye sanaa utagundua kuwa Alikiba ni mtu mwenye kibri ,majivuno na chuki zisizo za msingi!

Alikiba amekuwa na tabia ya kutumia matukio yanayo kutanisha wasanii wenzake kuendeleza chuki na kibri dhidi ya wasanii wenzie.,....ni kawaida ya Alikiba kutotoa mikono kwa baadhi ya wasanii wenzie hasa wanaotoka wasafi hata wakilazimisha kumsalimu huwa hakubali....
Bado najiuliza hivi Alikiba anaumwa nini?

Lakini hii tabia ya chuki na kibri amesha anza kuwarithisha wasanii wenzie hasa huyu ndugu “Farid Kubanda” tena chuki dhidi ya wasanii wa WCB

Jana kwenye tukio la kumuaga ndugu Mbalamwezi kulitokea tukio ambalo limesambaa sana kwenye mitandao ya kijamii...
Msanii Harmonize alikwenda msibani na alipofika alianza kuwapa mikono wasanii wenzie na baadhi ya watu walio kuwepo,alipokuwa anaendelea kutoa mikono kabla hajawafikia watukufu Fid q na Alikiba walinyanyuka gafla na kupeana ishara ya kuondoka kiasi kwamba ikazua sintofahamu na watu kuanza kushangaa yani mtu anataka kuwapa mkono wa Pole mnamkimbia ina wasaidia nini?

Fid q na Alikiba nani aliye waroga?

Najua shida ya watu ni jinsi wasanii wa WCB walivyo na walinzi ...Lakini tujiulize ni kweli wasanii wetu hawahitaji walinzi? Na ni kwanini tuchukie watu wakifanikiwa?
Hivi msanii Mbalamwezi angelikuwa na walinzi pengine si tungelijua kilichompata au kisingempata kilicho mpata?

Hivi Kwanini wasanii ndio wanachukia wasanii wenzao? Kwani msanii kufanikiwa ni dhambi? Wasanii wa WCB hawapaswi kwenda misibani kwakuwa wana walinzi au vyombo vya habari vitawafata?

Kwanini hatutaki kukubali kuwa kuna wasanii lazima wafatwe na vyombo vya habari na lazima wawe na walinzi kwakuwa ni wakubwa na hatuwezi kuzuia?

Fid q na Alikiba na kawaroga?
 
Harmonize kama hayo ndiyo maisha yake kwa sasa ya kutembea na walinzi kila mahali yani mpaka kwao akiongea na mamake na ndugu zake wanatakiwa wawepo basi sawa sina swali kwake...ila basi ajue misiba huwa haifanyiwi maigizo,leo wanazika wenzio kesho utazika kwako ndio utajua kero na karaha za hao mabaunsa,makamera kwa sehemu za msibani hasa huku uswahilini kwetu.
 
Naunga mkono hoja
Mnao support huyo konde boy ni wapumbavu kiwango cha Lami kama una chuki na kiba Sema mengine lakin sio kuhalalisha aliyoyafanya Konde boya huwez kwenda msiban ghafla na ma body guard na waandishi halafu watu waanza kuambiwa wawapishe shughuli yenyewe ipi uswahili misiba hii ya kiislam hainaga hata pa kukaa VIP umeenda kuleta vurugu...mtoto wa kiislam marangi kichwan....kama unamkubali mtu mkubali kwa kazi zake na kama unamchukia mtu mchukie kwa kaz zake, Kina kiba alionesha uungwana kumuachia uwanja jamaa afanya yaliyomleta sababu walikuwepo pale muda wote na palikuwa pametulia tu..!..usihalalishe hata upumbavu sababu tu mtu unampenda Konde boya namkubali ila alichofanya sio ubinadamu ile sio shighuli ya lwenda kufanya show off hana u star wa mtu kumvizia had misiban
 
Nadhani tatizo lilianzia kwa harmonize kwa jinsi alivoingia msibani na crew ya kutosha. Ulinzi ni jambo la muhimu ila mimi ningeshauri watu WCB wangetakiwa kupunguza crew kubwa hasa ya mabodygurd waendapo kwenye hafla za misiba. Ingependeza zaid angekuwa angalau na mlinzi mmoja alafu angewahi kidgo kuendana na ratiba ya shughuli husika. Hii pia ilitokea kwa Diamond kwenye msiba wa Ruge, ila kikubwa naona wanatakiwa kubadilika hasa katika shughuli za misiba. Ulinzi ni muhimu na ukubwa wao kimzik tension lazma iwepo kwao ila wanaweza kuipunguza kukingana na mazingira ya pahala wanayoenda.
 
Hivi ni Msanii yupi kafariki?

Maana hapa naona msiba umesahaulika mmebaki na Hamorapa sijui hamo nini
 
Mr Nice bila bifu na Dudu Baya asingefanyaje? Nigga you gotta be kidding!
Ile bifu ndio iliyompotezea uwelekeo Mr. Nice na ikamuua Dudu baya kabisa na media ndo zikamfuta Dudubaya kwenye tasnia ya mziki.
 
Sema hawa dabiliusibii nao wanapenda sana 'attention', kaja na hao mabodigadi utafikiri labda kuna tishio fulani dhidi ya uhai wake, mbwembwe nyiiingi, watu wapo msibani unakuja na show-off za kishamba, who is Harmonize by the way? Haoni wenzake akina Shetta wapo bize kuhudumia waombolezaje, kawapita moguls Kiba na Fid hapo kama hawaoni, kesho hawahawa ndo unasikia anaumwa sana anahitaji watu wamchangie! Tujifunze kuishi maisha ya kawaida na kuachana na kiki misibani! Shwain!
Mkuu umetoa cheche 😂😂😂😂😂 Anyway mkuu nimemis sana yale ma post yako ya tech.
 
Back
Top Bottom