PUSHKIN 2000
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 362
- 176
jamani DIMPOZ Sio RIZIKI na mawenge ya kutosha kwenye kichwa chake...akihisi MTEKENYO CHINI anauwezo wa kufanya lolote.Msanii wa Hip Hop Fid Q amedai msanii Omy Dimpoz amefanya jambo la hovyo sana kiasi kwamba hadi sasa haupendi wimbo wake wa fresh
Ommy Dimpoz alitupia picha akiwa na mama Diamond na kuandika maneno ya kumdhalilisha
kitu ambacho fid Q hakutegemea kufika huko kwa kuwa muziki ni burudani na msanii kumdiss mwingine kupitia muziki kunachangamsha game ila sio kutukana wazazi
Nani tutamlaumumnapenda kulumbana na mnapenda tukanana,
mi nnaogopa sana, kwa hali jinsi ilivyo mwishowe mtaja chinjana,
na sote tunaorap tuonekane hatuna maana.
wapi ilipo taarabu, ilikuja kwa kishindo hadi wagumu wakahusudu, lakini kwa malumbano mwishoe ikafa kibudu.
by Afande sele Mtazamo
Acha ufala wewe atafute kiki ya nini wakati yeye haihitaji kiki anakubalika kitambo kwenye hipo hop ila alichosema ni kweli yule punga Dimpoz mambo yao vipi awahusishe wazazi?Fid unatafuta kiki ili nyimbo iendelee kununuliwa tu huku mitandaoni
sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
Basi Omary kishakula mama Dimond au unabisha?!Kwani omary sio punga?? Acha kutetea upuuzi
Even a black folk hate to see another nigga made it..
Dimond ndio kaanza kuhusisha watu wasiohusika.Domo angejibu kwa kumtukania dimpoz kwa mama ake nahisi insta pangechafuka watu tunashangilia ujinga kutaniana kupo mbona kiba alimjib domo kwa kumuita malikia wa nguvu watu hawajamaind lakini unahisi ni kw nini ommy kaleta mtafaruku kw sababu kamhusisha mtu aziyehusika yeye angedili na domo personally siyo kuingiza wazaz.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] woyoooooo woyoooo hozaaaaa patraaamKwani mama ake Ommy hajadhalilishwa kwa kuambiwa kazaa Shoga??? sasa Mond kakomaa kumuita mwenzake shoga kisa tu hajawahi kumtambulisha shemeji yake kumbe huyo shemeji yake ni mama ake hahahahahahahaha oyooooooooooooooooooo wanasemaga Mbwa kala Mbwa.
Nipo upande wa Ommy.
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
Omy kafanya vile kuithibitishia jamii kuwa yeye si shoga. Na demu wake ndo huyo bi kandraKumegwa siyo kesi unaweza kuta hata bibi mdash wako anamegeka tu kitaani na wana, wengne wadogo zaidi yako. Kesi iliyopo ni domo kamdis ommy, so ommy angedili na domo personally maswala ya kumuhusisha bi mdashi hayakuwa na mantiki kama kamla bi mkubwa wanajuana wenyewe mm hainihusu swala ni kwa nn umuhisishw mtu ambaye hahusiki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Muongo yule kishaona balaa anataka kujitoa.Naanza kuamini kuwa ma great thinker wamepungua humu jf na km wamebak bas wengi wao hawana bando la kutosha.... Fid kaongea vizuri tu kuwa hakuelewa ule mstari uliotaja Cinderella kama wengi walivyo elewa ila humu jf badobwatu povu linawatoka
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kama Ommy akudisiwa kwenye Fresh Remix Fid Q inamuuma nini?
Kama Ommy ajui ku-rap Je...ulitaka afe na tai shingoni?!Nimielewa Fid Q, hakukuwa na haja ya Dimpozz kwenda that personal, angechukua biti la mtu nae amjibie studio.
Ndo mana jamaa akaamua kuweka wazi ili amuheshimuUlisikiliza ile interview ya Mondi pale clouds wakati anasema mbele ya mamilioni ya watu nchi nzima na nje ya nchi kua Ommy anapumuliwa kisogoni??? imesahau kua mondi huyo huyo alisema eti kisa cha kuweka bifu na Ommy ni kitendo cha yeye kumchomolea kumpumulia kisogoni??
Yaani amtangaze mwenzie kua Shoga halafu mwenzie kusema kua hapana me sio shoga maana bi mdashi wako ananijua vilivyo ndio iwe kosa???
ushawaza Mond alimdhalilishaje Ommy,
unajua watu wangapi wameamini mpk sasa,
Angeweza hata kumfungulia mashtaka lakin bi sandra akamzima na kumwambia "msamehe mtoto wetu babe me nakujua vizuri" hahahahahahahahahahahahahahahahahahaha imepenya hiyoooooooooooooo
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
Kamuhusishaje mzazi? Kuweka wazi mahusiano yao ni kosa?Acha ufala wewe atafute kiki ya nini wakati yeye haihitaji kiki anakubalika kitambo kwenye hipo hop ila alichosema ni kweli yule punga Dimpoz mambo yao vipi awahusishe wazazi?
Huku Dar es salaam Hakuna utani wa kuitana mashoga labda huko kwenu MombasaKaonyesha udhaifu mkubwa sana! Mwenzake kamtania kisanii yeye kapaniki.