Petro Oswald
JF-Expert Member
- Aug 17, 2015
- 2,382
- 1,881
Mbona umetumia vina sana?mnapenda kulumbana na mnapenda tukanana,
mi nnaogopa sana, kwa hali jinsi ilivyo mwishowe mtaja chinjana,
na sote tunaorap tuonekane hatuna maana.
wapi ilipo taarabu, ilikuja kwa kishindo hadi wagumu wakahusudu, lakini kwa malumbano mwishoe ikafa kibudu.
by Afande sele Mtazamo
Sent using Jamii Forums mobile app