Huyu jamaa hapa anajifunga kwa maneno yake na dhahiri inaonekana alielewa vizuri tu kuwa hili neno sindelela linalenga wapi
1. Anasema hafuatilia bongo fleva wakati hapohapo ana mstari wake na analijua kuwa kuna kiba na mond na ni wa pinzani wa hali juu na akawaongelea kwenye mistari yake sasa unasema huifuatilia bongo fleva lakini anajua A Z za mond na kiba kupitia kazi zao
2. Anasema alielewa kuwa sindelela ni binti lakin nahisi alifaham kuna kitu kimefichwa na inalenga upande wa pili maana amesema ye ni bingwa wa kuficha white ama kutumia lugha ya pool table maana ake mistar yake huwa inatafsir mbilimbili nazani hata alipomsikia mond alielewa vizuri tu
Mond asingejibu tweet ya jamaa kwa kurap mara ingine angetulia tu na ile tweet ya kiba ingeonekana kawaida tu
Sent using
Jamii Forums mobile app