UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 16,543
- 7,880
Lipumba atabaki kuwa Profesa tu hayo mambo ya kisiasa hayahusiani kabisa na uprofesa wake.Labda uprofesa maji marefu au Ulipumba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lipumba atabaki kuwa Profesa tu hayo mambo ya kisiasa hayahusiani kabisa na uprofesa wake.Labda uprofesa maji marefu au Ulipumba
Michango anayotoa kwenye harusi.Kujengewa sanamu, hivi ana mchango gani kwa jamii hadi ajengewe sanamu?
Kwahiyo Fid Q ni Genius au Proffesor?Kwasababu Sungu ni Mbunge...[emoji5] [emoji5]
Mzee wa kutoa hapa kuweka hapa[emoji12]Fid q jeshi la mtu mmoja habebwi na media power anabebwa na ukubwa wa nyimbo zenye fikra yakinifu cyo za kuunga unga kama wana chuga
Ukiweka mstari mmoja wa Fid unaodhani ni wa kuungaunga na nipigwe ban ya maisha!Hana chochote cha ajabu. Wa kawaida sana.
Bora hata ya Sugu kuliko huyu anayeungaunga lyrics.
Mkuu ni coca au mwendokasi unatumia uletewe? Prof ni Haule tuu baaas na mjadala umefungwaProf ni Joseph haule tuu.
Namkubali sana fid q anamistali kuntu, hata ukitumia kasimu hapati maana yake ,jamaaa ni shidaaaa
Hahahahaha,sijamanisha hvyo,nikisema ni shidaaa ninemanisha anajua kupita kiasihalafu maskini pia...
Hata mm nimependa sana,mtu anae tumia akili utamjua tuNimependa ulivomrekebisha nakauli nzuri uliyoitumia. Siyo wale FaizaFoxy anakurekebisha halafu anakutusi
Kwani kuna uhusiano gani kati ya Fid Q na watu wa Chugga... Mbona kuna watu Arusha wanakubali harakati za Fid??Watu wa chuga wakiuona huu uzi wa nataman kupasuka
AiseehMtu mwenye u-profesa ndani yake aishie kulelewa na dada wa kizungu?
Neno profesa limebakwa hapo.