Hao followers real unawatambuaje? nadhani ukiwa na followers milioni moja kuna uwezekano mkubwa ukawa na real followers laki tatu..sasa je ukiwa na followers laki mbili real followers ni wangapi?Amesema yeye ana followers Real,Hana Fake Followers,Makampuni yanaangalia idadi ya folllowers,yeye hana wengi so si rahisi kupata hayo matangazo ya sabuni.
Mwenzako mvuta bangi lakini humfiki ng'oMkuu yaani kabisa unaandika umefumbuliwa macho na mvuta bangi na asiye jua chochote,ngoja tukueleweshe lemutuz kwenye page yake alisha toa maelezo kwamba hapendi ujinga ukikoment upumbavu unakula solex na ndomana unaona wachangiaji ni wachache na wanachangia pointi za muhimu mwenyewe anawaita akili kubwa na kuhusu matangazo jamaa pale anaingiza mpunga mzuri kwa sababu makampuni mengi yana jua ile page inatembelewa na watu wenye akili timamu na itawasaidia pia wao kupata wateja ndomana kila wakiongezeka follows 1000 anakwambia bei ya matangazo inapanda sasa page zingine za wasanii unaona wanakoment na like nyingi kwasababu wao huwa awana utaratibu wa kublock wajinga wanaokoment matusi na ujinga kwenye page zao zipo tu bora liende!
Sawa!Mwenzako mvuta bangi lakini humfiki ng'o
Tokea nikujue leo ndo umeongea pointFid Q ndiyo role model wa yule dogo anayejiita Killer.
sasa atazame kwa makini soko la role model wake atauona mwisho wake.
Umemaliza kila kitu,maana nilikuwa namtafutia majibu na kila jibu nilikuwa naliona haliko sawa.Mkuu yaani kabisa unaandika umefumbuliwa macho na mvuta bangi na asiye jua chochote,ngoja tukueleweshe lemutuz kwenye page yake alisha toa maelezo kwamba hapendi ujinga ukikoment upumbavu unakula solex na ndomana unaona wachangiaji ni wachache na wanachangia pointi za muhimu mwenyewe anawaita akili kubwa na kuhusu matangazo jamaa pale anaingiza mpunga mzuri kwa sababu makampuni mengi yana jua ile page inatembelewa na watu wenye akili timamu na itawasaidia pia wao kupata wateja ndomana kila wakiongezeka follows 1000 anakwambia bei ya matangazo inapanda sasa page zingine za wasanii unaona wanakoment na like nyingi kwasababu wao huwa awana utaratibu wa kublock wajinga wanaokoment matusi na ujinga kwenye page zao zipo tu bora liende!
Pamoja mkuu!!Umemaliza kila kitu,maana nilikuwa namtafutia majibu na kila jibu nilikuwa naliona haliko sawa.
Kumbe wewe mtoto wa juzi bana [emoji3] [emoji3] hili swali lako linaonyesha umezaliwa kuanzia 1994Hivi kuna Hit song ipi ya FID Q ambayo kila mtu anaujua?
nyimbo za akina ngwea, prof jay, TMK, Mr. blue, etc zinajulikana hata kama za miaka hiyo
ipi ya FID Q
maana wapenzi wa hiphop wanasema mkali sana, ana mashari balaa, yuko vizuri ..binafsi siyaoni wala sivutiwi na muziki wake na kwa kuuliza hivi ni kutaka kujua
mtu anipe link nifurahie muziki wa FID Q
Ninachoona ni wale die hard wa hiphop ambao wanasema wanabaki kwenye kacha ya hiphop na siyo soko linataka nini
Kumbe wewe mtoto wa juzi bana [emoji3] [emoji3] hili swali lako linaonyesha umezaliwa kuanzia 1994
Tafuta maana hata nkikutajia hutazijua mkuu ukipata rudi uniambie kama umezipata tutaanza kumjadili fid qmkuu weka hit song ya FID Q