binafsi nampenda akiwa mnene kuliko alivyokonda, naona anapendeza zaidi akiwa alivyokuwa zamani kuliko alivyo sasa, unless picha zake za sasaivi hazikutoka vizuri ...... Pia kuhusu kukonda nadhani amefanya diet ya makusudi ili apungue, si mnajua yeye ni model yuko kwenye mambo ya fashion ambayo hayafagilii ubonge.
Watu mshaanza kum-judge kuwa mgonjwa, mmh jamani!! Wagonjwa wangapi ukiwaona ni wanene ile mbaya kutokana na madawa wanayokunywa ya kurefusha maisha? so, kukonda sio kuumwa jamani, ni maamuzi ya mtu kujiachia na ubonge au ku-diet apungue, dont judge her wrongly......