Threesixteen Himself
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 8,233
- 8,022
!Kaka,
Private Sector ndiko kuna majibu ya kijinga kama hilo walilokufundisha. Private sector asiyetaka kuwekeza katika nchi yake basi aondoe vitega uchumi vyake aka-invest kwingine ambako hakuna sheria hii.
Ukisema Private sector haiwezekani basi unamaanisha wako juu ya sheria. Hebu wakunyime likizo halafu uende mahakamani uone cha moto chake halafu rudi hapa JF tuone kama utazungumza hiyo lugha!
Sheria ni juu hata ya Rais wa nchi, achilia mbali private sector ambao tumewapa leseni za biashara kwa sheria hizihizi!
!Takujulisha jioni mkuu
hapo ktk severance pay mkuu kuna marekebisho ,ipo hivi unachukua basic salary yako una zidisha mara saba mara miaka uliyofanya kazi!Asante sana kwa ufafanuzi wako mkuu
!Hesabu ya kukokotoa mshahara wa siku kwa jinsi nijuavyo mimi ni: mshahara wa mwezi zidisha mshahara wa miezi kumi na mbili ili upate mshahara wa mwaka; kiisha gawanya kwa 260 (siku za kazi kwa mwaka) kwa mfano anaelipwa mshahara wa ts. 1,200,000/= kwa mwezi, mshahara wa siku ni: 1,200,000 X 12 /260 = Tsh. 55,384.62. Mshahara wa saa ni kuchukua mshahara wa siku na kugawa kwa masaa 8. Fomula hii imekuwa inatumika kufanya mahesabu ya overtime na malipo ya likizo endapo likizo italipwa.
kaka sheria ya ajira wengi hatuijui practical, nimejaribu kuiptia ELRA 2004, lakini naona marangirangi tu! naungana na mtoa uzi kueleweshwa zaidiHesabu ya kukokotoa mshahara wa siku kwa jinsi nijuavyo mimi ni: mshahara wa mwezi zidisha mshahara wa miezi kumi na mbili ili upate mshahara wa mwaka; kiisha gawanya kwa 260 (siku za kazi kwa mwaka) kwa mfano anaelipwa mshahara wa ts. 1,200,000/= kwa mwezi, mshahara wa siku ni: 1,200,000 X 12 /260 = Tsh. 55,384.62. Mshahara wa saa ni kuchukua mshahara wa siku na kugawa kwa masaa 8. Fomula hii imekuwa inatumika kufanya mahesabu ya overtime na malipo ya likizo endapo likizo italipwa.
Hapo umenichanganya kidogo kwenye UKOKOTOAJI WA HAYO MALIPO! Naomba ufafanuzi zaidi katika kipengele hichohapo ktk severance pay mkuu kuna marekebisho ,ipo hivi unachukua basic salary yako una zidisha mara saba mara miaka uliyofanya kazi!
Naomba ushauri wako kulingana na issue yangu Je katika Situation hii kama wafanyakazi tunaweza kudai Fidia ya UNFAIR TERMINATION OF CONTRACT? Nimeuliza swali hili kutokana sintofahamu iliyopo juu ya Hatma ya wafanyakazi kwa MNUNUZI mpya wa SHARES!Mkuu hapo kama ni termination kuna stahiki zako unatakiwa upewe,
- Basic Salary to date (Working Days) - Hapa unatakiwa kujua payroll inafungwa lini kwenye kampuni yenu mfano kama payroll wanafunga tarehe 18 ya kila mwezi,then count days up to date kisha chukua basic yako gawanya kwa 30.333 then times by number of working days.
- Severance - Hii ni kama umefanya kazi umetimiza mwaka (Kila mwaka una siku 7 za severance) so kama umetimiza miaka mi3 manayake una siku 21. So unachukua basic yako/30.33 unazidisha na number of days.
- Leave days. Kila mwezi kuna leave days 2.33 so chukua miezi yote uliyokaa kazini zidisha kwa 2.33 kisha toa siku ulizoenda likizo toka umeajiliwa (kama una record).
- 28 days notice kama wao wamekuterminate.
- Nauli ya kwenda na kurudi sehemu uliyotokea kama inavyo onesha kwenye contract.
Kisha add 1,2,3,4 sum yake toa nssf/any kisha deduct PAYE then hicho ndo utakachostahili. Nadhani nimekusaidia kwa kiasi flani.Am stand to be corrected.
.umetisha mdauMkuu hapo kama ni termination kuna stahiki zako unatakiwa upewe,
- Basic Salary to date (Working Days) - Hapa unatakiwa kujua payroll inafungwa lini kwenye kampuni yenu mfano kama payroll wanafunga tarehe 18 ya kila mwezi,then count days up to date kisha chukua basic yako gawanya kwa 30.333 then times by number of working days.
- Severance - Hii ni kama umefanya kazi umetimiza mwaka (Kila mwaka una siku 7 za severance) so kama umetimiza miaka mi3 manayake una siku 21. So unachukua basic yako/30.33 unazidisha na number of days.
- Leave days. Kila mwezi kuna leave days 2.33 so chukua miezi yote uliyokaa kazini zidisha kwa 2.33 kisha toa siku ulizoenda likizo toka umeajiliwa (kama una record).
- 28 days notice kama wao wamekuterminate.
- Nauli ya kwenda na kurudi sehemu uliyotokea kama inavyo onesha kwenye contract.
Kisha add 1,2,3,4 sum yake toa nssf/any kisha deduct PAYE then hicho ndo utakachostahili. Nadhani nimekusaidia kwa kiasi flani.Am stand to be corrected.
ipo hivi unachukua mshahara wako basic(bila makato) unagawanya kwa 30 ili upate mshara wako wa siku,then unazidisha kwa saba,then unazidisha kwa miaka uliyofanya kazi...hii ndo fomula inayotumika mkuuHapo umenichanganya kidogo kwenye UKOKOTOAJI WA HAYO MALIPO! Naomba ufafanuzi zaidi katika kipengele hicho