FidQ: anatuachia ujumbe mkubwa sana kwenye Ngoma yake ya SUMU, tuijadili

FidQ: anatuachia ujumbe mkubwa sana kwenye Ngoma yake ya SUMU, tuijadili

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
19,976
Reaction score
32,195
Amani iwe kwenu watumishi wa MUNGU

Ngoma inaitwa SUMU imeimbwa na Farid kubanda FidQ

Ina maneno ambayo yaanza kwa kisukuma lakin nitayatafasiri

Kwakifupi Ngoma hii imesheheni ujumbe mzito sana

Watukuobhutaga magulu wakusege, kwalounguno ya bhulema wako,
Bhene bhalelemeja bhango jako douhu udume kupandeka shikolo,
Nahange eyeneyo he SUMU nh'ale gete umu Bhanu bha shinkou eji
Na hange ubhogohe wabhanuo bhenabho gete

Natafasiri sasa kwa kiswahili twende pamoja

Hawatakuvunja miguu ili wakucheke kwa sababu ya ulemavu wako, wao watazuia Aman na nyota yako tu yaan watafifisha nyota yako ili usipate kitu chochote tena hiyo kufifisha nyota yako ndo SUMU kali zaid kwa watu wa leo na tena inakupasa na inakubidi uwaogope sana watu wa namna hiyo

Anaendelea kwa kiswahili

Wabongo wa juu hawana upendo wanajigawa

Sipigi goti kama PNC
Usipo situka Africa unaweza zikwa ukiwa hai
Wako radhi kukupa pombe na si pesa ya kula

Haumuui chura kwa kumtupa ndani ya maji

Wema anataka saa ya alimasi , zari anaujali mda

Neno zuri halina ukweli
Na neno lenye ukweli siyo zuri

Kuna mengi sana ya kujifunza

LONDON BOY
 
Tangu ujio wa Roma na Stamina kwenye hizi ngoma ngumu, ndio wasanii wanaoweza kutunga mashariki mzuri na yenye ujumbe unaoeleweka. Hata kama utakuwa kwenye Mafumbo. wengine waliobakia akiwepo fid Q kwangu mimi ni wapiga kelele tu.
 
Tangu ujio wa Roma na Stamina kwenye hizi ngoma ngumu, ndio wasanii wanaoweza kutunga mashariki mzuri na yenye ujumbe unaoeleweka. Hata kama utakuwa kwenye Mafumbo. wengine waliobakia akiwepo fid Q kwangu mimi ni wapiga kelele tu.
Sio lazima kila kitu ujue,vingine kaaa kimya
 
Amani iwe kwenu watumishi wa MUNGU

Ngoma inaitwa SUMU imeimbwa na Farid kubanda FidQ

Ina maneno ambayo yaanza kwa kisukuma lakin nitayatafasiri

Kwakifupi Ngoma hii imesheheni ujumbe mzito sana

Watukuobhutaga magulu wakusege, kwalounguno ya bhulema wako,
Bhene bhalelemeja bhango jako douhu udume kupandeka shikolo,
Nahange eyeneyo he SUMU nh'ale gete umu Bhanu bha shinkou eji
Na hange ubhogohe wabhanuo bhenabho gete

Natafasiri sasa kwa kiswahili twende pamoja

Hawatakuvunja miguu ili wakucheke kwa sababu ya ulemavu wako, wao watazuia Aman na nyota yako tu yaan watafifisha nyota yako ili usipate kitu chochote tena hiyo kufifisha nyota yako ndo SUMU kali zaid kwa watu wa leo na tena inakupasa na inakubidi uwaogope sana watu wa namna hiyo

Anaendelea kwa kiswahili

Wabongo wa juu hawana upendo wanajigawa

Sipigi goti kama PNC
Usipo situka Africa unaweza zikwa ukiwa hai
Wako radhi kukupa pombe na si pesa ya kula

Haumuui chura kwa kumtupa ndani ya maji

Wema anataka saa ya alimasi , zari anaujali mda

Neno zuri halina ukweli
Na neno lenye ukweli siyo zuri

Kuna mengi sana ya kujifunza

LONDON BOY
Cha kupewa hakishibishi,ukipewa lazima ukumbushwe.
 
hiyo ngoma fareed amegusa vitu vingi sana
kuanzia kwake fid q, marehem Ngwea, diamond, Mr.nice, stosh, pnc nk.
 
haumuui chura kwa kumtupa ndani ya maji, ukinizuga kwa ulaji nakupa fact kwa lugha ya kishkaji
mnataka vitu rahisi, me nawapa vitu halisi,
utata mnamtaka ibilisi, na sio big kaka ka Idriss
Mr. nice jua la utosi, na mtaa unakiu ile mbaya
hawamsapoti, isipokuwa anawapromote aliewa inspire...
 
Tangu ujio wa Roma na Stamina kwenye hizi ngoma ngumu, ndio wasanii wanaoweza kutunga mashariki mzuri na yenye ujumbe unaoeleweka. Hata kama utakuwa kwenye Mafumbo. wengine waliobakia akiwepo fid Q kwangu mimi ni wapiga kelele tu.
Kwangu stamina ni mpiga kelele tu huwa haeleweki anazungumzia mada gani japokuwa anajitahidi kwenye ku flow.
 
Back
Top Bottom