Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni vigumu labda atengeneze wasanii imara zaidi,bu remember hii haiusiani na wcb wasafi.
Asilimia mia ya kura zitawataka wcb na hapa ndio kizaazaa kinapoanzia
Aiseee watu wako busy na kuwachagua wasanii wanaowataka.View attachment 1212084View attachment 1212085View attachment 1212086View attachment 1212087
ni mbinu ya biashara tu,ili uteke attention ya watu unatakiwa uwape uhuru japo wa bendera
Ni kweli mkuu.Kwani hizo kura wakati wa kupigwa utakuwa unaonyeshwa live kuwa fulani ndiye aliyeshinda -'?
Hapo clouds wamesha waandaa wasanii wao hata kama hawato pigiwa kura ..watawapitisha hao hao
Tena kwa namna fulani watafanikiwa kwa kiasi kikubwa kuwaamisha watu kuwa wasanii waliochaguliwa ndio wasanii Bora nchini. ... hao ndiyo clouds bwana. ..hakuna media inayo weza fitina kama hiyo Tz
Tayari kuna short list yao una kut najina ww unachagua kat ya hayo majina mkuu[emoji13][emoji13]Asilimia mia ya kura zitawataka wcb na hapa ndio kizaazaa kinapoanzia
nenda kama utaona mzee mwenzako yoyote,ni vitoto tu vya sekondariMkuu Kwani 30+ kwenda kujirusha na Show ya fiesta kuna ubaya gani?
Wow [emoji123][emoji123][emoji123][emoji123]Kwani hizo kura wakati wa kupigwa utakuwa unaonyeshwa live kuwa fulani ndiye aliyeshinda -'?
Hapo clouds wamesha waandaa wasanii wao hata kama hawato pigiwa kura ..watawapitisha hao hao
Tena kwa namna fulani watafanikiwa kwa kiasi kikubwa kuwaamisha watu kuwa wasanii waliochaguliwa ndio wasanii Bora nchini. ... hao ndiyo clouds bwana. ..hakuna media inayo weza fitina kama hiyo Tz
Kwani hujawahi kusikia kura imeharibika?Wote wakimtaka Diamond? Au ni kupanga matokeo?