Tamasha lenyewe limepoozaaa!!! Hakuna kama Ruge aiseee!!! Malkia wa nguvu, yaani Ruge watu watakukumbuka...
Tangu runge alipo ondoka hakuna tena tamasha mjini la wasanii, yaani shida tupu hata hii fiesta wameshindwa kuitengenezea kiki i hit imepooza sana.....