Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Yani katika vitu vinavyowakosesha amani CLOUDS ni WCB.
Kiukweli tangu fiesta ianzishwe mpaka leo hakuna show mbovu kama show ya jana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yani watu walikuwa wachache sana mpaka wakashusha bei za tiketi lakini wapi hakuna aliyeingia mpaka wakaamua watu waingie bure lakini bado wakala za uso.
Clouds waliamua watu waingie bure ili angalau waonekane na wao walijaza ili waje kuvimbia WCB ,Ha ha ha ha daaah sijui walikuwa hawajui kwamba kizuri hujiuza kibaya chajitembeza .
Hiyo yote tisa kumi ni huyo anayejiita King , yani uharo mtupu show mbovu kupindukia mpaka hata clouds wameona aibu kumpost [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] .
Kuna haka kalikorubuniwa katoroke WCB kisa ananyonywa ,huyu ni miongoni mwa watu ambao wana majuto makubwa sana kwa sababu kila anachokifanya kinabuma na anazidi kufubaa tu kila kukicha ,angalia hata nguo alizovaa jana ,ni aibuuuuuuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Twende kwenye show sasa mpaka huruma angalau kidoooogo alipoimba Kokoro .
Clouds wamshukuru sana Chidibenzi angalau aliamsha amsha kidogo wengine wote chaliiiiiiiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
#HAWAAMINI WANACHOKIONA#
#SANAA IMEZALIWA UPYA#
#MCHEZO USIUCHEZEE WEWEE# KABISAAAAAAAA#.
Kiukweli tangu fiesta ianzishwe mpaka leo hakuna show mbovu kama show ya jana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yani watu walikuwa wachache sana mpaka wakashusha bei za tiketi lakini wapi hakuna aliyeingia mpaka wakaamua watu waingie bure lakini bado wakala za uso.
Clouds waliamua watu waingie bure ili angalau waonekane na wao walijaza ili waje kuvimbia WCB ,Ha ha ha ha daaah sijui walikuwa hawajui kwamba kizuri hujiuza kibaya chajitembeza .
Hiyo yote tisa kumi ni huyo anayejiita King , yani uharo mtupu show mbovu kupindukia mpaka hata clouds wameona aibu kumpost [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] .
Kuna haka kalikorubuniwa katoroke WCB kisa ananyonywa ,huyu ni miongoni mwa watu ambao wana majuto makubwa sana kwa sababu kila anachokifanya kinabuma na anazidi kufubaa tu kila kukicha ,angalia hata nguo alizovaa jana ,ni aibuuuuuuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Twende kwenye show sasa mpaka huruma angalau kidoooogo alipoimba Kokoro .
Clouds wamshukuru sana Chidibenzi angalau aliamsha amsha kidogo wengine wote chaliiiiiiiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
#HAWAAMINI WANACHOKIONA#
#SANAA IMEZALIWA UPYA#
#MCHEZO USIUCHEZEE WEWEE# KABISAAAAAAAA#.