Mkuu wako wapi sasa hiv wameachana na mziki?Rama D na Anti virus Co.waligoma ku bow down kwa wanyonyaji that one point for them...
Tunaita msimamo
Inashangaza!Hata mimi sijaelewa hapo kwenye neno usahili, pengine muweka thread alikosea. Huwezi mfanyisha usahili mtu kama Fid Q au Joh Makini usahili wakati ni watu ambao washaprove kilakitu kwenye industry ya Rap/Hiphop Bongo, mi nadhani alimaanisha USAJILI.
Mkuu kwahiyo hizo ndio Sare zao?
Ndiyo unakabidhiwa sare.Mkuu kwahiyo hizo ndio Sare zao?
Si usahili... Ni usajiliAs per thread ya Compact anasema kwamba wasanii kama Navy Kenzo Fid Q na weusi leo wanafanyiwa usahili ili tu kushiriki tamasha la FIESTA, hii imenishangaza kidogo,
Hivi hii FIESTA ina nini mpaka hawa major Artists waweze kupanga foleni na kufanyiwa usahili ili wafuzu kuwa kwenye hiyo tour?
Clouds wasitake kujifanya wanamiliki hii industry kwamba wanaweza ku order wasanii kufanya wanavyotaka....na nyinyi wasanii amkeni acheni kuwaabudu hao clouds hawana lolote zaidi ya kuwashushia heshima yenu tu....kuna media nyingi sahivi achen kumuabudu huyo Ruge na Clouds yake
Usajili wa wasanii Fiesta 2016
Hata mimi sijaelewa hapo kwenye neno usahili, pengine muweka thread alikosea. Huwezi mfanyisha usahili mtu kama Fid Q au Joh Makini usahili wakati ni watu ambao washaprove kilakitu kwenye industry ya Rap/Hiphop Bongo, mi nadhani alimaanisha USAJILI.
Ni usajili si usahili ni kama walikuwa wana watambulisha kwa wananchi.....Nimeamini upeo wa watanzania katika kuelewa mambo ni ndogo sana.!!
Sisi watanzania ni wagumu sana kuelewa vitu.... ,hata sioni sababu ya mtu kuja hapa na kumwaga povu lote hili kwa hoja zisizo na msingi!
Kwanza kama wasanii wenyewe wamekubali wewe kinachokuuma ni nini?
Na hawajasema wanafanya usajili,hilo neno limetumika vibaya tu ila kwa maana nyingine WANASAINISHA WASANII MIKATABA KWAAJILI YA FIESTA.
Kabla ya jiburi walikuwa wapi,Mkuu acha kuwapoteza muulizeni rama d na genge lake wako wapi sasa kiburi kiliwaponza!
Mkuu walifanya vizuri sana kwenye gemu na tuliwasikia sasa hiv hawasikiki sanaKabla ya jiburi walikuwa wapi,
Hebu nieleweshe kidogo mkuu,hawa wasanini wananyonywa kivipi?Prof J na mawingu sasa ni wamoja?,naona jamaa wanagonga sana ile ngoma ya singeli ya Profesa...umoja wenye nguvu pekee ndio utawasaidia wasanii wa nchi hii kutonyonywa na hawa Mawingu...
bosi ni helaAs per thread ya Compact anasema kwamba wasanii kama Navy Kenzo Fid Q na weusi leo wanafanyiwa usahili ili tu kushiriki tamasha la FIESTA, hii imenishangaza kidogo,
Hivi hii FIESTA ina nini mpaka hawa major Artists waweze kupanga foleni na kufanyiwa usahili ili wafuzu kuwa kwenye hiyo tour?
Clouds wasitake kujifanya wanamiliki hii industry kwamba wanaweza ku order wasanii kufanya wanavyotaka....na nyinyi wasanii amkeni acheni kuwaabudu hao clouds hawana lolote zaidi ya kuwashushia heshima yenu tu....kuna media nyingi sahivi achen kumuabudu huyo Ruge na Clouds yake
Usajili wa wasanii Fiesta 2016