Fiesta Mwanza: Wasanii wa Tanzania bado kuna namna jukwaani

Njoo 1ist Oct 2016 Escape One uone jinsi DIAMOND PLATNUMZ anavyopiga Live band ndio utajua tofauti,KUMBUKA LIVE BAND KESHAWAHI KUPIGA MARA NYINGI TU,ILA HII YA SASA NI MAPINDUZI YA LIVE BAND.
Ok nitaenda kwa heshima ya Diamond. Ila wakiweza kupiga kama p square live zao itakuwa bomba sana.
 
Sherehe zisizo na tija zimeshakataliwa na watu wameamriwa wafanye kazi na fedha wazitumie kwenye mambo muhimu sijui ni nani anaidhinisha kuandaa sherehe hizi za kihuni.
 
Fiesta ifutwe haina maadili zaidi ya kuchochea vitendo viovu kwa jamiii....
Hii nchi bana kila kitu kinachochea sijui nini.........acheni hizo bana, kuna time kichwa kinatakiwa kiwe happy, stress weka kule.
 
teh teh teh inaonekana huo wimbo unakupa machungu na una kukumbusha kitu usicho kipenda maishani mwako...
 
Fiesta ifutwe haina maadili zaidi ya kuchochea vitendo viovu kwa jamiii....
khaaaaa!!!fiesta imeanza 2001!
uovu hapa bongo umenza lini?

kuna kumbi km billz,diamond nk

kuna las vegas Casino,jolly club na match more vimeanza kabla ya fiesta!

hebu ulokole wenu pelekeni hukoooooo!!!!!!

imooooooooooo!!!!
 
Wanamuziki wa B 12 wamefeli. Unamuachaje mtu kama Darasa, Ney wa Mitego, Roma 2030, Kalla Jeremiah, Vanesa Mdee, Lady Jay Dee, Mayunga, Dully Sykes. Upopoma mtupu
Fiesta ya mwaka huu kama imefubaa sijaelewa tatizo ni nini.. Kuna watu wakikosa Fiesta uwezi pata matukio na hamsha hamsha.. Wamlipe vizuri Diamond anogeshe tour yao.. Darasa, God zila, mzee warioba, kalapina, Chid benz pia ni muhimu japo hawana hits ila shughuli yao nzito hao kina bilnas navy kenzo hawawezi kupiga show. Waache kubana matumizi watu wapate burudani
 
Mkuu apo uko sawa kabisa kunasehemu anama , pichu ya manfongo mnato, Yani ni mbaya kabisa hii
 
Inakuaje watu wameimba ad nyimbo za kushilikishwa afu king anaimba wimbo 1 wakati anazo nyingi 2 izi dhalau
 
Kiukweli mimi nimeenda haya matamasha ya bongofleva ila sijaona bado wakunishawishi nirudi kumuona kwa mara ya pili zaidi ya lady jaydee. Labda mwenzangu uniambie ni bongofleva yupi anaefanya vizuri kwenye live band nikamshuudie na mimi.
Mkuu ulikuwepo kwel au umeadithiwa
nlicheka sana wizkid alivyopanda watu waliposhindwa kuitikia hata nyimbo1 jaman kukaw kam hakuna watu daaah kilengesa hii inatesa wengi sana
 
mkuu pole kwa kuchapiwa mkeo mziki ni burudani
 
Sherehe zisizo na tija zimeshakataliwa na watu wameamriwa wafanye kazi na fedha wazitumie kwenye mambo muhimu sijui ni nani anaidhinisha kuandaa sherehe hizi za kihuni.

sasa we hauoni hao wasanii wanafanya kazi na pesa tunayolipa kiingilio ndo inalipa kodi acha ukoloni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…