Fiesta ndio show inayohudhuriwa na watu very local, mpaka omba omba

Fiesta ndio show inayohudhuriwa na watu very local, mpaka omba omba

Mbona mapovu ndugu zangu, mi nilikwenda fiesta ila nilichafukwa na vumbi sina hamu. Ila all in all kila binadamu ana hake zake
 
Peleka uchawi wako kule kwan hao sio watu? Huna aibu hata chembe andaa tamasha lako tukuone na wewe kazi kuharishia wenzako mwenyewe mifuko imetoboka huna kitu wenzako wametumia fursa...pambana na hali yako..
 
Pathetic ideas
I wonder what kind of school did this foolish attended
He who knows does not speak he who speaks does not know same applied to income situations
 
Aisee Fiesta ni show ambayo inakutanisha wasanii wakubwa sana tena wengi kwa pamoja lakini ni show yenye hadhi ndogo kabisa kuwah kutokea. Ni show ambayo mtu mwenyebkipato hutataka kuhudhuria. Ni show ambayo hata mahali inapofanyika hakuna hadhi

Ona list ifuatayo ndio aina ya makundi makubwa yaudhuriao fiesta. Kama unapinga toa facts

1. Boda boda: show ya fiesta ni show inayojaa maboda boda ambao ni watu wa hadhi ya chini

2. Secondary school student: asilimia 50 ya wahudhuriaji wa fiesta ni watoto wa secondary form 1 hadi form 4.

3. Vibaka: siku ya fiesta vibaka wote mjini huudhuria tamasha hilo ambalo wao hutengeneza faida kubwa kwa kuwaibia wengine.

4. Watu walioshindwa shule na kujifanya wanamuziki wakitafuta chimbo la kutoka, fiesta inahudhuriwa na wasanii underground wengi smbao wanatsks kutoka

5. Makahaba wanaojiuza, hawa huwa wote wanahamia fiesta siku ya fiesta ili wapate madanga.

6. Watu wenye hadhi zao ambao huwa ni asilimia moja tu na hii ni kwasababu either wanafanya biashara katika tamasha hili au wamepews kadi za bure za mwaliko na ruge
Anyway, mimi sio mhudhuriaji wa FIESTA, ila kwa takwimu zako, kama 50% ni wanafunzi, basi wao ndo wengi kuliko hao wengine wanaogombania 50% iliyobaki.

Nadhani so long as na wao ni binadamu kama wewe wa "hali ya juu", huna haja ya kuwabeza.
 
Mada yako haiko fea kabisa. Hao wote ni watanzania na wana haki ya kupata burudani kama wengine na fiesta target yao ni general includes hayo makundi. Kwanza fiesta ni TAMASHA so tofautisha tamasha na vitu vingine ulivyovizoea ambavyo vimetenga VIP, VVIP etc.

Acha dharau mkuu au kwa kuwa upo free nyuma ya keyboard ndo unatupa uharo tu hapa.
 
Kwani hao sio watu? Acha dharau. We mwenyewe inaonesha muhudhuriaji mzuri ndio maana umekuja kutoa povu hapa! Au wamekukwapulia?
 
Sasa kama mtu anakiingilio chake 10,000 asiingie kwakua yeye bodaboda??
 
ni kweli mkuu, uwezi kukuta mtu anaheshima zake anaenda kutazama ujinga huo
 
Pathetic ideas
I wonder what kind of school did this foolish attended
He who knows does not speak he who speaks does not know same applied to income situations
Unajitahidi kuandika kiingereza utafika tu.
 
Aisee Fiesta ni show ambayo inakutanisha wasanii wakubwa sana tena wengi kwa pamoja lakini ni show yenye hadhi ndogo kabisa kuwah kutokea. Ni show ambayo mtu mwenyebkipato hutataka kuhudhuria. Ni show ambayo hata mahali inapofanyika hakuna hadhi

Ona list ifuatayo ndio aina ya makundi makubwa yaudhuriao fiesta. Kama unapinga toa facts

1. Boda boda: show ya fiesta ni show inayojaa maboda boda ambao ni watu wa hadhi ya chini

2. Secondary school student: asilimia 50 ya wahudhuriaji wa fiesta ni watoto wa secondary form 1 hadi form 4.

3. Vibaka: siku ya fiesta vibaka wote mjini huudhuria tamasha hilo ambalo wao hutengeneza faida kubwa kwa kuwaibia wengine.

4. Watu walioshindwa shule na kujifanya wanamuziki wakitafuta chimbo la kutoka, fiesta inahudhuriwa na wasanii underground wengi smbao wanatsks kutoka

5. Makahaba wanaojiuza, hawa huwa wote wanahamia fiesta siku ya fiesta ili wapate madanga.

6. Watu wenye hadhi zao ambao huwa ni asilimia moja tu na hii ni kwasababu either wanafanya biashara katika tamasha hili au wamepews kadi za bure za mwaliko na ruge
Kwa kiingilio cha sh 10,000 unafikiri utapata mtu wa maana,but ni nzuri kwani hata watu wa hali ya chini let them enjoy angalau once kwa mwaka,safi sana Ruge kutukumbuka wa hali ya chini ambao tuko wengi
 
Haohao unaowadharau ndo wanawapa wasanii na kina Ruge jeuri ya kuishi mjini
 
Aisee Fiesta ni show ambayo inakutanisha wasanii wakubwa sana tena wengi kwa pamoja lakini ni show yenye hadhi ndogo kabisa kuwah kutokea. Ni show ambayo mtu mwenyebkipato hutataka kuhudhuria. Ni show ambayo hata mahali inapofanyika hakuna hadhi

Ona list ifuatayo ndio aina ya makundi makubwa yaudhuriao fiesta. Kama unapinga toa facts

1. Boda boda: show ya fiesta ni show inayojaa maboda boda ambao ni watu wa hadhi ya chini

2. Secondary school student: asilimia 50 ya wahudhuriaji wa fiesta ni watoto wa secondary form 1 hadi form 4.

3. Vibaka: siku ya fiesta vibaka wote mjini huudhuria tamasha hilo ambalo wao hutengeneza faida kubwa kwa kuwaibia wengine.

4. Watu walioshindwa shule na kujifanya wanamuziki wakitafuta chimbo la kutoka, fiesta inahudhuriwa na wasanii underground wengi smbao wanatsks kutoka

5. Makahaba wanaojiuza, hawa huwa wote wanahamia fiesta siku ya fiesta ili wapate madanga.

6. Watu wenye hadhi zao ambao huwa ni asilimia moja tu na hii ni kwasababu either wanafanya biashara katika tamasha hili au wamepews kadi za bure za mwaliko na ruge
Na kwa taarifa yako hao wa hali ya chini unaowaita ndo wanaipa uhai na afya BONGO FLAVOUR.!
 
Ubinafsi haujawahi kumuacha mtu salama...usijione bora sababu ya mavazi, makazi, kipato au anything...jali watu..waone wote ni sawa...usibague..usiishi kwa matabaka...aliyekupa wewe leo ndiye atakaye mpa yeye kesho.
Binadamu tunajisahau sana (kujitoa akili)...mkuu inaonesha una kiburi cha uzima.. be humble [emoji41]
 
Back
Top Bottom