balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Saudi Arabia na hata Kuweit ,Jordan nk hawatuwezib mbonaTop ten ya nchi zinazojua mpira duniani kuna takbiir ngapi?
Hizo Northern Africa ni uchumi unazifanya ziwe zaidi ya kina sisi, ukienda Saudi Arabia pale na wenzake Kuwait mpira wanatumia hela nyingi ila hawajui kwa viwango vya dunia ila ukiwaleta Afrika wanajua
Hilo lilikuwa kombe la vipofu, kama hoja ni dini hebu tuambie waislam /waarabu waliwahi kuchukua world cup ngapi? Hawa sijui Algeria na akina Saud Arabia huwa wanakuwa kama pombe ya ngomani, kila mmoja anajipigia.Nchi zote Africa zenye kushadadia Ukristo hazina viwango vya mpira.
Top ten ya nchi zinazoongoza kwa mpira Africa zimejaa nchi za Kiislamu.
Ivory Coast na Nigeria zitoe kwenye hiyo list, wachezaji wake tunawafamu vizuri na dini zao. Hapo hebu tuwekee Somalia ili tutathmini hoja.Ni ukweli mkuu ....em orodhesha
Algeria
Senegal
Tunisia
Morocco
Egypt
Nigeria 50/50
Ghana
Ivory coast 50/50
Cameron
Nchi za kiislam ni zipi? Ninachofahamu hata huo mpira wenyewe kwa uislam bado kuna utata kama dini inaruhusu, ila nchi yenye waislam wengi iliyofika robo ni senegal na TurkeyKuna nchi ya kiislam ishawahi kufika robo fainal ya world cup
Je top 10 ya dunia hebu nikumbusheNchi zote Africa zenye kushadadia Ukristo hazina viwango vya mpira.
Top ten ya nchi zinazoongoza kwa mpira Africa zimejaa nchi za Kiislamu.
Nigeria na Ivory coast wapo 50 50 mkuuIvory Coast na Nigeria zitoe kwenye hiyo list, wachezaji wake tunawafamu vizuri na dini zao. Hapo hebu tuwekee Somalia ili tutathmini hoja.
Karne ya 21 unapanda bus la udini?Kwahiyo kama ni ukweli tusiseme?
Waarabu noma
Hilo lilikuwa kombe la vipofu, kama hoja ni dini hebu tuambie waislam /waarabu waliwahi kuchukua world cup ngapi? Hawa sijui Algeria na akina Saud Arabia huwa wanakuwa kama pombe ya ngomani, kila mmoja anajipigia.
Hizi dini ambazo tunalazimishwa kwa sababu ya majina ni kutuonea tu tusio na majina ya huko.Ivory Coast na Nigeria zitoe kwenye hiyo list, wachezaji wake tunawafamu vizuri na dini zao. Hapo hebu tuwekee Somalia ili tutathmini hoja.
Aongeze na Indonesia nchi yenye waislamu wengi zaididuniani.Ivory Coast na Nigeria zitoe kwenye hiyo list, wachezaji wake tunawafamu vizuri na dini zao. Hapo hebu tuwekee Somalia ili tutathmini hoja.
Aongeze na Indonesia nchi yenye waislamu wengi zaididuniani.
Ww huku hutufaiHalafu majority of them are Muslims!
Dini wanaijua, mpira wanaujua.
Acha Ung*se acha Udini 2naongelea mpira hatuongelei Chuo ata mtt wa 2 yr anapelekwa Chuo..kwel ukichaa sio.......Nchi zote Africa zenye kushadadia Ukristo hazina viwango vya mpira.
Top ten ya nchi zinazoongoza kwa mpira Africa zimejaa nchi za Kiislamu.
Tuukubali tu ukweli wakuu.Kwanini Africa tu? Brazil,Argentina,France ,Germany ,Belgium unajua idadi ya watu ni wa dini ipi? Mbona hao unaowashadadia hawajawahi fika hata nusu fainali ya kombe la dunia?