Hii inaita Mbuzi kala Mbwa..e bwana wee
No hope at all,Spain are out mkuu..Very sad indeed!!! Just keeping some hopes!!!....
Mhh,labda kama Spain wanaye Yusuph Mzimba waolol.........zinarudi
Oh,yeah..Footbal's a game of chance mkuuMpira kitu kibaya sana yani kumbe hata taifa star wanaweza amka vizuri na kuchukua taji
Mambo magumu....hii mechi nataka iwe dakik 90 bado nina mauchovu ya vacation....
spain wanashinda hamna ubishi....
Mpira kitu kibaya sana yani kumbe hata taifa star wanaweza amka vizuri na kuchukua taji
Lingekuwa goli moja tungesema USA wamebahatisha, mkuu mbili si haba hahahahahahaMpira kitu kibaya sana yani kumbe hata taifa star wanaweza amka vizuri na kuchukua taji
Spain byebyebyeeeee, tupishe brazil tuwatungue wakina obama sieeee
arrrg nataka SA washinde kesho.......Mambo magumu....
Nilisema mie, USA wanaweza kufanya tusichotarajia