Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,215
- 3,076
They have done it!!! Good for Africa.
Waarabu wengi waliomo ktk ramani ya Africa wanajivunia uarabui wao na wala si uafrika. Ninayo mifano mingi sana, though i have nothing against Egyptians, ningependelea timu kutoka kusini mwa jangwa la Sahara ifanye vizuri kwenye oncoming World Cup.