Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,307
- 25,932
Leo,nchini Uingereza,kutatolewa tuzo kwa Mwanasoka bora Duniani. Wagombea watatu waliosalia ni Cristiano Ronaldo, Lionel Messi na Neymar.
Kutatolewa pia tuzo za mwanasoka bora wa kike, kocha bora, timu bora, goli bora na kadhalika. Karibuni tupashane
HATIMAYE, MCHEZAJI BORA WA DUNIA NI CRISTIANO RONALDO
==================
Cristiano Ronaldo
Wachezaji Cristiano Ronaldo na Lieke Martens walitajwa kuwa wachezaji bora wa mwaka wa kiume na wa kike wa FIFA katika sherehe ya kutunuku wachezaji bora iliyofanyika katika jiji la London siku ya Jumatatu usiku(23rd October)
Hii ni mara ya 5 kwa Ronaldo kutwaa tuzo hiyo ambapo kwa sasa amemfikia mchezaji Lionel Messi kwa idadi ya Tuzo hizo.
Ronaldo ametwaa tuzo hiyo kwa mwaka 2008, 2013, 2014, 2016 na 2017 na Messi aitwaa tuzo hiyo ya Mchezaji bora wa dunia mwaka 2009, 2010, 2011, 2012 and 2015.
Goli bora - Olivier Giroud
Kocha bora wa kiume - Zinedine Zidane
Golikipa bora - Gianluigi Buffon
Mashabiki bora - Celtic fans
Kocha bora wa kike - Sarina Wiegman
THE FIFA FAIR PLAY AWARD - Francis Kone
THE FIFA FIFPRO WORLD11 - Buffon, Alves, Ramos, Bonucci, Marcelo, Kroos, Modric, Iniesta, Messi, Ronaldo, Neymar
Kutatolewa pia tuzo za mwanasoka bora wa kike, kocha bora, timu bora, goli bora na kadhalika. Karibuni tupashane
HATIMAYE, MCHEZAJI BORA WA DUNIA NI CRISTIANO RONALDO
==================
Cristiano Ronaldo
Hii ni mara ya 5 kwa Ronaldo kutwaa tuzo hiyo ambapo kwa sasa amemfikia mchezaji Lionel Messi kwa idadi ya Tuzo hizo.
Ronaldo ametwaa tuzo hiyo kwa mwaka 2008, 2013, 2014, 2016 na 2017 na Messi aitwaa tuzo hiyo ya Mchezaji bora wa dunia mwaka 2009, 2010, 2011, 2012 and 2015.
Washindi kwa vipengele vyote kwa Ujumla:Goli bora - Olivier Giroud
Kocha bora wa kiume - Zinedine Zidane
Golikipa bora - Gianluigi Buffon
Mashabiki bora - Celtic fans
Kocha bora wa kike - Sarina Wiegman
THE FIFA FAIR PLAY AWARD - Francis Kone
THE FIFA FIFPRO WORLD11 - Buffon, Alves, Ramos, Bonucci, Marcelo, Kroos, Modric, Iniesta, Messi, Ronaldo, Neymar