FIFA na UEFA zafungia timu zote za mpira wa miguu za Urusi

FIFA na UEFA zafungia timu zote za mpira wa miguu za Urusi

Kichwa Kichafu

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2017
Posts
44,855
Reaction score
189,385
Habari,

FIFA na UEFA zimevifungia vilabu vyote vya mpira wa miguu vya Urusi kushiriki katika michezo.

Zimevifungia kuanzia ngazi ya vilabu hadi kimataifa na kuzuia kushiriki kombe la dunia 2022 na mashindano ya wanawake Euro 2022.

Kufungiwa huko ni muendelezo wa hatua zinazochukuliwa na kuonyesha kupinga maamuzi ya Urusi kuvamia Ukraine.

Nawasilisha Mzee Mkoloni.

Cc: Kichwa Kichafu
 
Kwahiyo wanafikiri ligi letu litasimama au kusema zawadi hazitatolewa kwa washindi? Ukiwa Urusi hao FIFA na UEFA ni kama ZFF.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Soma vizuri habari yake ni team ya taifa tu sio vilabu hilo la vilabu ni suala la nchi.
 
FIFA na Uefa ni wapumbavu na wanafiki sana

Wao hawataki Serikali iingilie máswala ya mpira ila cha ajabu wao wanaingilia maamuzi ya Serikali

Pia, majeshi ya USA na washirika wake ( NATO) walishawahi kuvamia Libya, Iraq etc lakini Vilabu vya mpira wa miguu ( USA, washirika wake) havijawahi kufungiwa au kujadiliwa hata na kamati za FIFA wala Uefa
 
FIFA na Uefa ni wapumbavu na wanafiki sana

Wao hawataki Serikali iingilie máswala ya mpira ila cha ajabu wao wanaingilia maamuzi ya Serikali

Pia, majeshi ya USA na washirika wake ( NATO) walishawahi kuvamia Libya, Iraq etc lakini Vilabu vya mpira wa miguu ( USA, washirika wake) havijawahi kufungiwa au kujadiliwa hata na kamati za FIFA wala Uefa
Washenzi sana , ngoja niorganize Madon wa Buza turudishe Super league ya dunia tuwapige bao Fifa
 
FIFA na Uefa ni wapumbavu na wanafiki sana

Wao hawataki Serikali iingilie máswala ya mpira ila cha ajabu wao wanaingilia maamuzi ya Serikali

Pia, majeshi ya USA na washirika wake ( NATO) walishawahi kuvamia Libya, Iraq etc lakini Vilabu vya mpira wa miguu ( USA, washirika wake) havijawahi kufungiwa au kujadiliwa hata na kamati za FIFA wala Uefa
Baba mwenye nyumba hapangiwi chakufanya akiwa kwake
 
FIFA na Uefa ni wapumbavu na wanafiki sana

Wao hawataki Serikali iingilie máswala ya mpira ila cha ajabu wao wanaingilia maamuzi ya Serikali

Pia, majeshi ya USA na washirika wake ( NATO) walishawahi kuvamia Libya, Iraq etc lakini Vilabu vya mpira wa miguu ( USA, washirika wake) havijawahi kufungiwa au kujadiliwa hata na kamati za FIFA wala Uefa

Wako ki maslai zaidi sasa ukitazama klabu kama spart moscow imetolewa kwenye michuano ina kosa gani. Maana haijashiriki kutoa maagizo kushika bunduki au kuongoza uchochezi wa vita.
 
Wanaitwa Empire of Lies ...Watu wabaya sana hawa mashetani
 
FIFA Si Ndio Walewale NATO Tu Maana Kama Ni Ivo Marekani Kafanya Mambo Ya Ajabu Sana Kwenye Nchi Kama Iraq Na Libya Na Hakuna Aliyekuwa Akisema Wala Kufanya Kitu, Ukweli Kupambana Na Urusi Kwa Kutumia Silaha Hawamuwezi Kwaio Kilichobaki Ni Kumuwekea Vikwazo Tu [emoji23]
 
Mbona tayari wameshaanza kulalamika, leo hii tu kwenye mabank ni foleni ndefu, kwenye supermarkets wanagombania vyakula hasa vinavyotoka nje, wanajua kabisa, ndani ya muda mfupi vitaadimika!!
Nawahurumia raia wa Russia wasio na hatia, na wote wa Ukraine. Mpuuzi mmoja mpenda sifa za kijinga za miaka ya 80s kawaingiza kwenye maisha magumu sana. Qmmk Putin!
 
Endeleeni kuteseka sijui mkiwa Nato au USA ila Putin ni kama Mayele kwa cc mashabiki wa Simba anatukera sana
Mkuu sasa tuteseke kwa sababu gn?

Hapa tunachambua facts.Kuishi kwa kujitenga miaka hii ni ngumu.Hivi wewe unaweza ukipelekwa Ngorongoro peke yako ukaambiwa ishi huko,no any interaction, hupati huduma Yoyote utaweza?

Hiki ndo urusi imefanyiwa,wananchi wake ndo watauangusha utawala mana maisha yanakuwa magumu sn kwao.
 
Back
Top Bottom