Frustration
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,134
- 4,124
Baada ya vita yataisha hayo na yanatumika wakati huu tu wa vita baada ya hapo yataisha kwenye mabaraza huko ya amani.Mkuu sasa tuteseke kwa sababu gn?
Hapa tunachambua facts.Kuishi kwa kujitenga miaka hii ni ngumu.Hivi wewe unaweza ukipelekwa Ngorongoro peke yako ukaambiwa ishi huko,no any interaction, hupati huduma Yoyote utaweza?
Hiki ndo urusi imefanyiwa,wananchi wake ndo watauangusha utawala mana maisha yanakuwa magumu sn kwao.