Frustration
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,134
- 4,124
Baada ya vita yataisha hayo na yanatumika wakati huu tu wa vita baada ya hapo yataisha kwenye mabaraza huko ya amani.Mkuu sasa tuteseke kwa sababu gn?
Hapa tunachambua facts.Kuishi kwa kujitenga miaka hii ni ngumu.Hivi wewe unaweza ukipelekwa Ngorongoro peke yako ukaambiwa ishi huko,no any interaction, hupati huduma Yoyote utaweza?
Hiki ndo urusi imefanyiwa,wananchi wake ndo watauangusha utawala mana maisha yanakuwa magumu sn kwao.
Mbona tayari wameshaanza kulalamika, leo hii tu kwenye mabank ni foleni ndefu, kwenye supermarkets wanagombania vyakula hasa vinavyotoka nje, wanajua kabisa, ndani ya muda mfupi vitaadimika!!
Uwo ndio ukweli wenyewe.Acha kudanganya Watu hakuna Kitu kama hicho! UEFA walichotangaza ni kusitisha uhusiano na Kampuni ya Kirusi ya Gazprom kwenye mashindano yao yote na wala sio Timu za Kirusi.
🇷🇺❤👍Nawahurumia raia wa Russia wasio na hatia, na wote wa Ukraine. Mpuuzi mmoja mpenda sifa za kijinga za miaka ya 80s kawaingiza kwenye maisha magumu sana. Qmmk Putin!
Wewe chezea Marekani nini?. Karata zake akiamua kuzichanga sawa sawa,kote anashika kunzia masikio anamalizia na map*mb*. Kidogo kidogo Putin wenu utasikika mlio.FIFA na Uefa ni wapumbavu na wanafiki sana
Wao hawataki Serikali iingilie máswala ya mpira ila cha ajabu wao wanaingilia maamuzi ya Serikali
Pia, majeshi ya USA na washirika wake ( NATO) walishawahi kuvamia Libya, Iraq etc lakini Vilabu vya mpira wa miguu ( USA, washirika wake) havijawahi kufungiwa au kujadiliwa hata na kamati za FIFA wala Uefa
Na bado. Wataingia mitaani tu kumpiga chini mjinga huyu mpenda sifa za warusi toka mtogoleMbona tayari wameshaanza kulalamika, leo hii tu kwenye mabank ni foleni ndefu, kwenye supermarkets wanagombania vyakula hasa vinavyotoka nje, wanajua kabisa, ndani ya muda mfupi vitaadimika!!