Ndugu Adidas anafanya yake na ndiye mchezaji bora mtarajiwaLeo Messi ndani ya top 3 ya watakao gombania tunzo ya mchezaji bora wa mwaka 2023.
tukumbuke Messi anacheza Ligi ya Mls inayokaribiana na ligi ya Bongo kiubora, wakati huo huo ndani ya hiyo ligi ya MLS Messi amefunga magoli mawili tu.
Kwa kwali wameanza kufedheheka.
Una mtindio wa ubongo nini?. Key word MCHEZAJI BORA WA MWAKA 2023Mafanikio yake ya nyuma yanambeba
Mess ana Tuzo tatu za mchongo, Tangu walipo vurunda 2010 Dunia ilifahamu ni Tuzo za kibiashara zaidi kuliko ushindani halisi.
Kwasasa Mess ata akifikisha Tuzo 10 za mchezaji Bora wa Dunia malalamiko yamepungua kwakua watu Sasa wame elewa kua ni mambo ya mchongo zaidi kuliko uhalisia.
😂😂😂Et tatu ili ku equalize nq cr so wenzako wanasema hastaili kabisa tuzo ata mojaMess ana Tuzo tatu za mchongo, Tangu walipo vurunda 2010 Dunia ilifahamu ni Tuzo za kibiashara zaidi kuliko ushindani halisi.
Kwasasa Mess ata akifikisha Tuzo 10 za mchezaji Bora wa Dunia malalamiko yamepungua kwakua watu Sasa wame elewa kua ni mambo ya mchongo zaidi kuliko uhalisia.
Mwaka 2010 nlimwambia jamaangu mmoja kuwa mimi sio mganga MESSI ndio hatari kuliko wote na ndio atakuja kuwa na BALLONDOR NYINGI KULIKO WOTE, akabisha sana LEO KAKAA KIMYAA kama mgonjwa wa ukoma, walisema ooh mtu gani hana worldcup kaupiga mwingi mpaka ndoo ikaja ARGENTINA, saivi wamebaki na maneno ya kijiwe NONGWA TU…NA BADO HAWAJASEMABado hamjasema….
Jamaa ni biashara kwanini wafanye na Messi?Mess ana Tuzo tatu za mchongo, Tangu walipo vurunda 2010 Dunia ilifahamu ni Tuzo za kibiashara zaidi kuliko ushindani halisi.
Kwasasa Mess ata akifikisha Tuzo 10 za mchezaji Bora wa Dunia malalamiko yamepungua kwakua watu Sasa wame elewa kua ni mambo ya mchongo zaidi kuliko uhalisia.
Kuwa na heshima kwa mchezaji Bora wa Dunia.Leo Messi ndani ya top 3 ya watakao gombania tunzo ya mchezaji bora wa mwaka 2023.
tukumbuke Messi anacheza Ligi ya Mls inayokaribiana na ligi ya Bongo kiubora, wakati huo huo ndani ya hiyo ligi ya MLS Messi amefunga magoli mawili tu.
Kwa kwali wameanza kufedheheka.
Jamaa bado ana nguvu sana kwenye soka la ulaya au la wameamua kuipromoti ligi ya marekani kupitia yeyeLeo Messi ndani ya top 3 ya watakao gombania tunzo ya mchezaji bora wa mwaka 2023.
tukumbuke Messi anacheza Ligi ya Mls inayokaribiana na ligi ya Bongo kiubora, wakati huo huo ndani ya hiyo ligi ya MLS Messi amefunga magoli mawili tu.
Kwa kwali wameanza kufedheheka.