FIFA watumia rangi za upinde kwe profile yao

FIFA watumia rangi za upinde kwe profile yao

bullar

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
9,530
Reaction score
20,988
Shirikisho la soka duniani FIFA limetumia rangi za rainbow 🌈 kwenye profile yake hii ina maana gani kwa s mashabiki wa football wasi unga mkono hayo mambo pia kwa vyama wanachama wausio unga mkono ? Tukae tusubiri.

IMG_20240608_214758.jpg
 
Shirikisho la soka duniani FIFA limetumia rangi za rainbow 🌈 kwenye profile yake hii ina maana gani kwa s mashabiki wa football wasi unga mkono hayo mambo pia kwa vyama wanachama wausio unga mkono ? Tukae tusubiri
Hebu acheni unafiki. Yule mama wa Kisimkazi ni mwanachama, mbona unakimbilia kuchokonoa vya mbali wakati vya karibu unaacha?
 
Kuchomekana na kusagana ni utamaduni wa weupe ndiyo maana unaona wanajaribu kuipenyeza tamaduni hiyo kwa wengine kupitia vile vitu pendwa walivyovigundua.

Ipo siku itatangazwa kuundwa league ya wasenge na kombe kabisa litakuwepo,tungoje tuone.
 
Shirikisho la soka duniani FIFA limetumia rangi za rainbow 🌈 kwenye profile yake hii ina maana gani kwa s mashabiki wa football wasi unga mkono hayo mambo pia kwa vyama wanachama wausio unga mkono ? Tukae tusubiri.

View attachment 3012209
Ila ni upumbavu na upuuzi kuwaachia jamaa kutamba na rainbow kitu ambacho ni universe na zawadi kwa watu wote.
 
Back
Top Bottom