FIFA watumia rangi za upinde kwe profile yao

FIFA watumia rangi za upinde kwe profile yao

Yap kwa kiasi fulani
Ila mbona tukiwa watoto tumeona movies za kutwangana risasi na kuchomana visu jee sisi tumechukua hizo tabia

je wewe ulifundishwa shule huko kutwwangana risasi? unajua kama ulaya sasa hivi mpaka mashule wameanzwa kufundishwa mambo ya ushoga?
 
Jua hizo rangi za upinde zilikuwepo kabla ya hawa mashoga kuanza kutumia..

Hv uliwah kuwaza ingetokea wangeamua kutumia rangi za bendera ya taifa la tz mngebadili bendera

Mashoga wanashinda vita na kusambaza ushoga wao sababu mnashindana nao kimihemuko wenzenu wanatumia akili..

Ni sawa mtu ajipake kinyesi aingiw kwako kuiba uogope kupambana nae sababu utanuka na ww..

Maana yake kesho mashoga wakatanga vaz lao rasmi ni jeans za blue maana yake mtaacha kuvaa sio? ..

Mkizidi kukimbia vitu wanavyotumia ndo mnawapa ushindi wa mezan
Kuna uhusiano gani kati ya football na LGBT? Mantiki yangu ni kwamba kulikua na umhimu gani FIFA kuweka hizo rangi kwenye masuala ya mpira?
 
Upinde ni rangi tu Wala hakuna Cha maana apo we Fanya mambo yko tu hzo rangi hazikuathiri chochote Wala nn kwanza kwny maandiko ya wakristo MUNGU baada ya kuleta gharika aliweka agano kuwa hatoangamiza Tena Kwa maji na moto ndo akaweka ishara ya upinde wa mvua. Tangu kpndi hcho tunaambiwa sijui Pepsi na coca freemason mara oo man u Chelsea na real Madrid yan kla ktu tunachotumia wanasema Cha freemason 😂. Aya ko watu mtaacha kufatilia mpira wa ulaya na kucheza games za FIFA kisa rangi za upinde🤔 . Kupromote hayo maswala ni ww mwnyw direct Wala sio indirect
 
Hivi rangi ya 🌈 inahusiana nini na mambo ya ushoga, mi nadhani ushoga ni tabia tuu ya mtu binafsi
 
Shirikisho la soka duniani FIFA limetumia rangi za rainbow 🌈 kwenye profile yake hii ina maana gani kwa s mashabiki wa football wasi unga mkono hayo mambo pia kwa vyama wanachama wausio unga mkono ? Tukae tusubiri.

View attachment 3012209
Huu ni mwezi wa upinde.

Wiki ikiyopita nilikuwa Washington DC, mpaka White House wanapepea hiyo bendera.
 
Sema waarabu siku hizi wamepuguza misimamo mapema sana tungekua tusha sikia tamko and I swear ninge hamia huko tuwa achie FIFA yao ya 🌈
Wengi wao sikuhizi ni wanachama pia, hapo Egypt kuna Mashoga mengi sanaa...bado Yemen, Qatar n.k
 
Back
Top Bottom