FIFA yaifungia Yanga kusajili kutokana na kushindwa kulipa madai ya Augustine Okrah

FIFA yaifungia Yanga kusajili kutokana na kushindwa kulipa madai ya Augustine Okrah

Yanga inafichiwa ujinga ujinga na mafanikio yake ya hivi karibuni lakini ni uswahili hizi timu za kariakoo uko damuni
 
Kwahiyo uto wameachana na mpira wameamua kuwa matapeli? Moalini awe makini asijekutapeliwa somalia mbali sana kama huna nauli.
 
1731507342036.png
 
Hii timu nikama mwizi ili uwe umemuweza umchome moto kabisa lakini ukimpeleka gerezani siku akitoka anaiba tena✋🏻✋🏻✋🏻😂😂😂
🤣🤣😂😂😂
 

 
Hersi ana igharimu utopolo kwa sajili zake za kukurupuka
 
Okra atalipwa December wakati tunashusha watu wa dirisha Dogo.
Awe mvumilivu tu haki yake ataipata.
 
Hapa sasa ndo utaziona na mamlaka zetu zilivyo na meno makali.
 
Back
Top Bottom