mjingamimi JF-Expert Member Joined Aug 3, 2015 Posts 42,209 Reaction score 51,004 Nov 13, 2024 #41 Nilipe nisepe said: Makolo banaa mnajuaa kujifariji sanaa,izo sajili za kukurupuka ndo zimefanya Yanga kuwa apo saivi.. Click to expand... Ni kweli maana usajili wa chama na dube ndo umesababisha mfikie hatua ya kufungwa mechi 2 mfululizo
Nilipe nisepe said: Makolo banaa mnajuaa kujifariji sanaa,izo sajili za kukurupuka ndo zimefanya Yanga kuwa apo saivi.. Click to expand... Ni kweli maana usajili wa chama na dube ndo umesababisha mfikie hatua ya kufungwa mechi 2 mfululizo
mjingamimi JF-Expert Member Joined Aug 3, 2015 Posts 42,209 Reaction score 51,004 Nov 13, 2024 #42 redio said: Anaigharimu Yanga kwa kutwaa Mataji!! Click to expand... redio said: Anaigharimu Yanga kwa kutwaa Mataji!! Click to expand... Ana chukua MATAJI.NA HAPO HAPO ANATANGAZA KAPATA HASARA🤣🤣🤣
redio said: Anaigharimu Yanga kwa kutwaa Mataji!! Click to expand... redio said: Anaigharimu Yanga kwa kutwaa Mataji!! Click to expand... Ana chukua MATAJI.NA HAPO HAPO ANATANGAZA KAPATA HASARA🤣🤣🤣
Stroke JF-Expert Member Joined Feb 17, 2012 Posts 37,630 Reaction score 47,434 Nov 13, 2024 #43 Ngoja Ije na ban ya masindano.
koboG JF-Expert Member Joined Apr 3, 2016 Posts 2,763 Reaction score 5,167 Nov 13, 2024 #44 Bado boka nasikia bado hawamaliza pesa
redio JF-Expert Member Joined Aug 27, 2016 Posts 5,813 Reaction score 12,921 Nov 13, 2024 #45 mjingamimi said: Ana chukua MATAJI.NA HAPO HAPO ANATANGAZA KAPATA HASARA🤣🤣🤣 Click to expand... Ikiwa Barcelona Wana twaa Mataji na wanatangaza hasara kwa Yanga alitakua jambo jipya.
mjingamimi said: Ana chukua MATAJI.NA HAPO HAPO ANATANGAZA KAPATA HASARA🤣🤣🤣 Click to expand... Ikiwa Barcelona Wana twaa Mataji na wanatangaza hasara kwa Yanga alitakua jambo jipya.
mjingamimi JF-Expert Member Joined Aug 3, 2015 Posts 42,209 Reaction score 51,004 Nov 14, 2024 #46 redio said: Ikiwa Barcelona Wana twaa Mataji na wanatangaza hasara kwa Yanga alitakua jambo jipya. Click to expand... Ila Barcelona hawajasili kwa KUKURUPUKA mpaka wanalipishwa madeni.
redio said: Ikiwa Barcelona Wana twaa Mataji na wanatangaza hasara kwa Yanga alitakua jambo jipya. Click to expand... Ila Barcelona hawajasili kwa KUKURUPUKA mpaka wanalipishwa madeni.