Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,016
- 6,759
Ni suala la kumbukumbu tu.. Huyo jamaa ni maarufu sana na FutPlayers wengi ni wateja na washkaji zake..Niliona Clip yake moja...
Anangangania kupiga picha na Messi, Messi ni kama hataki ila yeye anangangana hatari..
Kombe lenyewe alikuwa analishika kihuni kihuni tu[emoji2]
Kama limepata najisi basi watupe Tanzania mpaka miaka minne najisi itakuwa imetoka.Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani FIFA limelaani kitendo cha mpishi maarufu duniani Nusr Et maarufu Salt Bae ambaye huchoma nyama na kuwalisha mastaa wakubwa duniani kulishika kombe la dunia siku ya Jumapili ambapo Argentina iliibuka bingwa.
Mchoma nyama huyo tajiri aliingia sehemu ya Uwanjani kujumuika na wachezaji kushangilia ushindi ambapo alipiga picha na nyota mbalimbali akiwemo Messi na Di Maria na ndipo alipopata fursa ya kulishika kombe wakati ambao Wachezaji wanafurahi nalo na kupiga picha.
FIFA imelaani kitendo hicho ikisema kombe hilo linapaswa kushikwa na wachezaji walioshinda na watu maalum waliopitishwa na FIFA hivyo mtu hata awe maarufu vipi sio kigezo cha kulishika kombe.
NB: Nikukumbushe hata lilipopita Tanzania kama ulivyo utaratibu wa FIFA kulipitisha kombe nchi mbalimbali kabla halijaenda kwenye nchi inayofanyika mashindano aliyepitishwa kulishika ni Rais Samia pekee wengine walipiga nalo picha likiwa ndani ya chumba chake cha box la kioo.
Hii si habari.Tupe source ya hii habari
Mungu wetu ni nani mkubwa!?Hii si habari.
Zoom hizo picha umwone mungu wenu mashabiki wa mpira
...ila hili zee huni, limepiga picha kama linamuonesha njia bwanamdogo Messi 😀Jamaa HuyoView attachment 2453699
Kweli kwenye hizi picha Kuna mchoro mtu kainua mikono juuHii si habari.
Zoom hizo picha umwone mungu wenu mashabiki wa mpira
Ni sehemu ya kuliheshimisha haiwezi kua kila mtu alishike me naona wapo sawaFIFA Wapuuzi sana na hilo kombe lao
Haya maisha bado yapo?Litakuwa na viapo roho za vinyago ili kombe ....! [mention]Mshana Jr [/mention]
Inawezekana kwa mtazamo huo ila sioni sababu ya kucomplicate maana mashindano yenyewe yamejibrandNi sehemu ya kuliheshimisha haiwezi kua kila mtu alishike me naona wapo sawa
Niliona Clip yake moja...
Anangangania kupiga picha na Messi, Messi ni kama hataki ila yeye anangangana hatari..
Kombe lenyewe alikuwa analishika kihuni kihuni tu[emoji2]
Huyo ni munguKweli kwenye hizi picha Kuna mchoro mtu kainua mikono juu
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Kombe lenyewe limetengenezwa na dhahabu za uwizi kutoka Africa afu bado wanataka watu wasilishike
Pesaainatembeaa nn futballJamaa HuyoView attachment 2453699
WAPELEKE JIPY KAMA WAMEKAASIRIKA PAMBAVUU WALITAKA WACHOMA KITIMOTO??Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani FIFA limelaani kitendo cha mpishi maarufu duniani Nusr Et maarufu Salt Bae ambaye huchoma nyama na kuwalisha mastaa wakubwa duniani kulishika kombe la dunia siku ya Jumapili ambapo Argentina iliibuka bingwa.
Mchoma nyama huyo tajiri aliingia sehemu ya Uwanjani kujumuika na wachezaji kushangilia ushindi ambapo alipiga picha na nyota mbalimbali akiwemo Messi na Di Maria na ndipo alipopata fursa ya kulishika kombe wakati ambao Wachezaji wanafurahi nalo na kupiga picha.
FIFA imelaani kitendo hicho ikisema kombe hilo linapaswa kushikwa na wachezaji walioshinda na watu maalum waliopitishwa na FIFA hivyo mtu hata awe maarufu vipi sio kigezo cha kulishika kombe.
NB: Nikukumbushe hata lilipopita Tanzania kama ulivyo utaratibu wa FIFA kulipitisha kombe nchi mbalimbali kabla halijaenda kwenye nchi inayofanyika mashindano aliyepitishwa kulishika ni Rais Samia pekee wengine walipiga nalo picha likiwa ndani ya chumba chake cha box la kioo.