FIFA yalaani mchoma nyama kulishika kombe la dunia

FIFA yalaani mchoma nyama kulishika kombe la dunia

Niliona Clip yake moja...
Anangangania kupiga picha na Messi, Messi ni kama hataki ila yeye anangangana hatari..

Kombe lenyewe alikuwa analishika kihuni kihuni tu[emoji2]
Ni suala la kumbukumbu tu.. Huyo jamaa ni maarufu sana na FutPlayers wengi ni wateja na washkaji zake..
 
FIFA nao naona wanataka kuwa kama mambo fulani ya imani, vitabu, mitume etc , binadamu tukishazoea miaka 1000 ijayo watu waanze kuamini hilo kombe ni mungu na ukiligusa adhabu yake kifo, pumbaf sana
 
Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani FIFA limelaani kitendo cha mpishi maarufu duniani Nusr Et maarufu Salt Bae ambaye huchoma nyama na kuwalisha mastaa wakubwa duniani kulishika kombe la dunia siku ya Jumapili ambapo Argentina iliibuka bingwa.

Mchoma nyama huyo tajiri aliingia sehemu ya Uwanjani kujumuika na wachezaji kushangilia ushindi ambapo alipiga picha na nyota mbalimbali akiwemo Messi na Di Maria na ndipo alipopata fursa ya kulishika kombe wakati ambao Wachezaji wanafurahi nalo na kupiga picha.

FIFA imelaani kitendo hicho ikisema kombe hilo linapaswa kushikwa na wachezaji walioshinda na watu maalum waliopitishwa na FIFA hivyo mtu hata awe maarufu vipi sio kigezo cha kulishika kombe.

NB: Nikukumbushe hata lilipopita Tanzania kama ulivyo utaratibu wa FIFA kulipitisha kombe nchi mbalimbali kabla halijaenda kwenye nchi inayofanyika mashindano aliyepitishwa kulishika ni Rais Samia pekee wengine walipiga nalo picha likiwa ndani ya chumba chake cha box la kioo.
Kama limepata najisi basi watupe Tanzania mpaka miaka minne najisi itakuwa imetoka.
 

Attachments

  • FB_IMG_16715643310083172.jpg
    FB_IMG_16715643310083172.jpg
    71.5 KB · Views: 3
  • FB_IMG_16713472494282909.jpg
    FB_IMG_16713472494282909.jpg
    52.5 KB · Views: 4
Kama vipi Hilo kombe litupiliwe mbali watengenezeana kombe jipya Tanzania ipewe furss ya kuandaa shindano hilo, kipute kianze upya.
 
Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani FIFA limelaani kitendo cha mpishi maarufu duniani Nusr Et maarufu Salt Bae ambaye huchoma nyama na kuwalisha mastaa wakubwa duniani kulishika kombe la dunia siku ya Jumapili ambapo Argentina iliibuka bingwa.

Mchoma nyama huyo tajiri aliingia sehemu ya Uwanjani kujumuika na wachezaji kushangilia ushindi ambapo alipiga picha na nyota mbalimbali akiwemo Messi na Di Maria na ndipo alipopata fursa ya kulishika kombe wakati ambao Wachezaji wanafurahi nalo na kupiga picha.

FIFA imelaani kitendo hicho ikisema kombe hilo linapaswa kushikwa na wachezaji walioshinda na watu maalum waliopitishwa na FIFA hivyo mtu hata awe maarufu vipi sio kigezo cha kulishika kombe.

NB: Nikukumbushe hata lilipopita Tanzania kama ulivyo utaratibu wa FIFA kulipitisha kombe nchi mbalimbali kabla halijaenda kwenye nchi inayofanyika mashindano aliyepitishwa kulishika ni Rais Samia pekee wengine walipiga nalo picha likiwa ndani ya chumba chake cha box la kioo.
WAPELEKE JIPY KAMA WAMEKAASIRIKA PAMBAVUU WALITAKA WACHOMA KITIMOTO??
 
Huo ndo upuuzi wa kombe kufanyikia kwa wavaa kobazi.
No seriousness
Wangeshangaa lingekutwa msikitini kabisa
 
Nasikia jamaa anapikaaa ngrooo htaree hulitena nyamayangombe
 
Back
Top Bottom