FIFA yalaani mchoma nyama kulishika kombe la dunia

FIFA yalaani mchoma nyama kulishika kombe la dunia

nionekane tu nina roho mbaya au nina wivu, ila kiukweli hili jamaa lichoma nyama mimi silipendi.

halinijui na wala mimi silijui zaidi ya kuliona tu kule instagram. nimejikuta tu nalichukia na wala sina sababu.

i speak my mind...sipendi unafiki.
Kumbe na ww kama mimi
Jamaa kama msengemsenge hivi, kama ana shoboshobo au mshamba fulani.
Nawahusudu waturuki ila jamaa namuona fala tu.
 
Lazima wamachukie kwa sababu bei zake za nyama kubwa sn kwenye Restaurant zake sasa watu tuna tamani kula nyama zake lkn bei ndio kikwazo lazima ni kuchukie unauza nyama kama unauzia watu sijui kitu gani .
 
Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani FIFA limelaani kitendo cha mpishi maarufu duniani Nusr Et maarufu Salt Bae ambaye huchoma nyama na kuwalisha mastaa wakubwa duniani kulishika kombe la dunia siku ya Jumapili ambapo Argentina iliibuka bingwa.

Mchoma nyama huyo tajiri aliingia sehemu ya Uwanjani kujumuika na wachezaji kushangilia ushindi ambapo alipiga picha na nyota mbalimbali akiwemo Messi na Di Maria na ndipo alipopata fursa ya kulishika kombe wakati ambao Wachezaji wanafurahi nalo na kupiga picha.

FIFA imelaani kitendo hicho ikisema kombe hilo linapaswa kushikwa na wachezaji walioshinda na watu maalum waliopitishwa na FIFA hivyo mtu hata awe maarufu vipi sio kigezo cha kulishika kombe.

NB: Nikukumbushe hata lilipopita Tanzania kama ulivyo utaratibu wa FIFA kulipitisha kombe nchi mbalimbali kabla halijaenda kwenye nchi inayofanyika mashindano aliyepitishwa kulishika ni Rais Samia pekee wengine walipiga nalo picha likiwa ndani ya chumba chake cha box la kioo.
Hata hivo Lina harufu ya mbwa alieanza oza
 
nionekane tu nina roho mbaya au nina wivu, ila kiukweli hili jamaa lichoma nyama mimi silipendi.

halinijui na wala mimi silijui zaidi ya kuliona tu kule instagram. nimejikuta tu nalichukia na wala sina sababu.

i speak my mind...sipendi unafiki.

Ni mtu anajitafutia riziki yake ana familia ana watoto wanamtegemea
 
Kumbe kombe halitakiwi kushikwa lina nin?
 
Kombe lenyewe limetengenezwa na dhahabu za uwizi kutoka Africa afu bado wanataka watu wasilishike
 
Back
Top Bottom