FIFA yamfungia Jamali Malinzi kujihusiha na soka kwa Miaka kumi kwa tuhuma za kughushi na ubadhirifu wa fedha

Kwa sababu FIFA ni mamlaka nyingine na Serikali ya JMT ni mamlaka nyingine, kila chombo kimoja hapo kinaendesha mambo yake...

Kafungiwa na FIFA kwa kukiuka kanuni zake...

Wakati huo huo yupo rumande kwa mashtaka ya jinai kwa mujibu wa katiba ya JMT...
Pointi yangu hapa ni kama atakwenda jela kuna maana gani tena ya kufungiwa na FIFA kujihusisha na soka ilihali tayari atakuwa hayupo uraiani kwa hiyo miaka kumi?
 
Bado na google hapa kuzifahamu "mahakama za jiwe".
 
Rais waungu sinachakusema naona mahakamaa wakioona hayamatokeo n balaa HUKO mahakamni

Ntashamgaa kusikia ukohuru kama.FIFA wameleta watuwao.na kukupa.mzigoo huu
 
Hiyo pesa ataghushi tu hakuna shida...hiyo ni fani kwa mwenye fani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…