Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
ina maana hata kuangalia mechi za mpira wa miguu haruhusiwi daah 😂😂😂😂Kama amefungiwa kujuhusisha na mpira, kwa hiyo hata kupiga danadana lazima ajifungie na kuhakikisha hakuna aneyemuona?
Sent using Jamii Forums mobile app
mahakama kuu na mpira wapi na wapiFifa hawakupelekewa maamuzi ya Mahakama Kuu na TFF Ambayo Mahakama ilitengua maamuzi ya Kamati ya TFF
Sent using Jamii Forums mobile app
Wambura hakupeleka Mpira Mahakamani Bali alienda Mahakamani Kupinga Utaratibu Uliotumika Kumfungia
kwanini asipeleke CAS?Wambura hakupeleka Mpira Mahakamani Bali alienda Mahakamani Kupinga Utaratibu Uliotumika Kumfungia
Sent using Jamii Forums mobile app